JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Burigi Chato yatakiwa kujitangaza kufikia uwezo kujiendesha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kamishna Uhifadhi (TANAPA), William Mwakilema ameagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Burigi -Chato kuboresha huduma za utalii pamoja na kuongeza juhudi za kujitangaza ili kufikia uwezo wa kujiendesha na kuchangia pato la Taifa. Kamishna Mwakilema ameyasema hayo…

UNFPA:Muda wa kuishi kwa Watanzania umeongezeka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mkoa wa Manyara unatajwa kuwa kwa sasa una jumla ya idadi ya watu millioni moja, laki nane na elfu sabini na tano sawa na ongezeko la asilimia 3.2. Ameyaeleza hayo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Charles Makongoro…

Tanzania kutumia fursa za uwekezaji kutoka benki ya Afrexim

Na Peter Haule,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Lameck Nchemba amemuahidi Rais wa Benki ya Afrexim kuongeza mtaji wa ziada katika Benki hiyo ambayo Tanzania inamiliki hisa ili iwe na wigo mpana wa kuendelea kupata rasilimali fedha kwa ajili…