JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mfereji wa Suez kupanuliwa

CAIRO, MISRI Mipango imeanza kuupanua Mfereji wa Suez nchini Misri kama njia ya kuhakikisha usalama na ufanisi wa usafirishaji, hasa kwa njia ya meli. Machi mwaka huu biashara duniani iliingia kwenye mtanziko mkubwa baada ya meli moja kubwa ya mizigo…

Mbowe akiri uzembe 2020

TABORA Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kushindwa kwao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana hakukuchangiwa na aliyekuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pekee, bali ni pamoja…

RC amtaka Mwenyekiti wa  Kijiji kurejesha Sh 150,000

TABORA Na Benny Kingson Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ali Hapi, amemwagiza Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Itaga, Manispaa ya Tabora, Mashaka Ramadhani, kurejesha Sh 150,000 alizomdhulumu mkazi wa kijijini hapo. Agizo hilo limetolewa kwenye mkutano wa hadhara baada…

Mbunge: Makubwa yamefanywa Ardhi

DODOMA Na Suleiman Sultan Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Khadija Hassan Aboud, amesifu utendaji wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akisema ameleta mabadiliko katika utoaji haki, kupunguza  dhuluma, uonevu na kuondoa migogoro mingi nchini. Akizumgumza…

Uhalali wa wabunge 19 wa Chadema

DODOMA Na Mwandishi Wetu Kwa muda mrefu kumekuwa na mjadala juu ya uhalali wa kuwapo wabunge 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama sehemu ya Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni takriban miezi mitano…

Ya Sabaya, tuandike majina yetu vizuri

Na Deodatus Balile Kwanza, naomba kabla sijaingia katika undani wa mada nichukue fursa hii adhimu kuwashukuru wahariri wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa kunichagua kuwa Mwenyekiti wa TEF kwa kishindo. Sitanii, ushindi wa asilimia 72 walionipa wahariri hawa…