Latest Posts
Rais, wadau saidieni wanafunzi Butiama
Si jambo jema sana kutumia safu hii kueleza shida ninazoguswa nazo moja kwa moja. Si vizuri kwa sababu naweza kuonekana najipendelea. Hata hivyo, nitakuwa sina msaada endapo nitashindwa kutumia fursa hii kufikisha sauti ya ‘wasio na sauti’ kwa nia njema…
Kamwe tusiruhusu kuvuruga umoja wetu
Matamko ya hivi karibuni ya viongozi wa dini kwa upande mmoja; na wanasiasa na Serikali kwa upande mwingine, yameibua fikra, ishara na tafsiri tofauti kwenye jamii. Viongozi wa dini wametoa matamko yenye ishara ya kutoridhishwa na mfululizo wa matukio nchini,…
Ujenzi wa viwanda, muhogo Na Deodatus Balile
Wiki iliyopita niliahidi kuanza kuandika masuala ya msingi katika kilimo cha muhogo. Nimepata simu nyingi kutoka kwa watu mbalimbali wakisema wanataka kulima muhogo, wengine tayari wanao muhogo na wengine wana mashamba au wengine wanatafuta mashamba ya kulima muhogo. Wengine wamepata…
China Yaiongezea Ushuru wa Forodha Bidhaa za Marekani
Baada ya kuidhinishwa na Baraza la Serikali ya China, kamati ya Ushuru wa Forodha ya China imeamua kuwa itasimamisha upunguzaji wa ushuru wa Forodha kwa bidhaa 128 za aina 8 zinazoagizwa kutoka Marekani kuanzia jana tarehe 2 Aprili, huku ikiongeza…