KitaifaRais Samia afungua miradi mbalimbali Kizimkazi Zanzibar Jamhuri2 years ago2 years ago02 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Polisi Kizimkazi, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa ukumbi wa Mitihani wa Skuli ya Kizimkazi Dimbani leo tarehe 02 Septemba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni wakati akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Polisi Kizimkazi, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Tawi la Chama la Miwaleni, Makunduchi Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wananchi wa Kizimkazi mara baada ya kufungua Kituo cha Polisi Kizimkazi, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2022. Post Views: 10 Post navigation Previous: Waziri Mkuu akutana na James MbatiaNext: Jafo atoa siku 7 kwa wafanyabiashara wenye mifuko ya plastiki kuisalimisha
Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki Jamhuri2 days ago2 days ago 0
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri6 months ago6 months ago 0