Latest Posts
Wafanyakazi wa Bora bado watanga na njia
Waliokuwa wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneza viatu cha Bora ambao waliachishwa kazi mwaka 1991, wameibuka na madai ya kiasi cha Sh bilioni 45. Wafanyakazi hao wanaitaka serikali iwalipe kiasi hicho cha fedha ambacho kinajumuisha pia malipo ya muda wa kusubiria…
KIJANA WA MAARIFA (2)
Dunia inatawaliwa na wenye maarifa Tupo katika kipindi ambacho kuwa na maarifa ni jambo la muhimu mno. Dunia ya sasa inatawaliwa na watu wenye maarifa. Bila kuwa na maarifa utajiweka katika wakati mgumu. \ Maarifa yatakufanya uongoze kila unapokwenda….
Tunatengeneza bomu la kisiasa
Watu wengi walishitushwa na kushangazwa na sababu zilizotumika kuwaengua watu wengi walioomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika siku chache zijazo. Kinachoshitua ni kuwa karibu wote walioenguliwa kuwania nafasi hizo ni wanasiasa kutoka…
Ana kwa ana na Rais Nyerere (5)
Ana kwa ana ni tafsiri ya mahojiano baina ya Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius K. Nyerere, na mwandishi wa magazeti, David Martin. Mahojiano haya yalichapishwa katika Gazeti la Kiingereza, New Internationalist, toleo la Mei, 1973. David Martin ni…
Maulid ni jukwaa la kumtangaza Mtume Muhammad (S.A.W)
Kwa mujibu wa kalenda ya sikukuu za kitaifa nchini Tanzania, juzi siku ya Jumapili tarehe 10, Novemba 2019 ilikuwa siku ya mapumziko kwa mnasaba wa kuadhimisha mazazi ya Kiongozi wa umma wa Waislamu duniani, Mtume Muhammad Bin Abdillahi Bin Abdil-Mutwalib…
Wanawake wajasiriamali kunolewa Dar
Kongamano kubwa litakalowawezesha wanawake kuunda mtandao wa wajasiriamali kutoka maeneo yote nchini litafanyika mapema mwezi ujao. Waandaaji wa kongamano hilo, Open Kitchen chini ya asasi ya Amka Twende, wameeleza kuwa zaidi ya wajasiriamali 300 wanawake kutoka vikundi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki…

