Latest Posts
Lengo la Rais Dkt.Samia kuhusu uzalishaji wa mbolea latimia
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha mbolea ya kutosha inazalishwa nchini badala ya kutegemea kuagiza nje limetimia baada ya kiwanda cha mbolea cha Itracom…
TAKUKURU yatakiwa kuitangaza mikoa iliyokithiri kwa rushwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama,ameitaka Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kufanya tathimini ya Rushwa katika mikoa kisha kuitangaza mikoa itakayobainika kuongoza kwa…
Rais Samia ashuhudia utiaji Saini mkataba ujenzi SGR Tabora-Kigoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani ameshuhudia utiaji Saini mkataba wa ujenzi wa reli ya SGR kipande cha Tabora-Kigoma kati ya Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania TRC na kampuni za ubia za China Civil…
Coastal Union kwafukuta,wamtimua kocha wao alfajiri
Klabu ya Coastal Union ya Tanga ambayo ipo Jijini Dar es Salaam wakijiandaa kukabiliana na Yanga SC majira ya 12:15 jioni imemtimua aliyekuwa kocha wake mkuu Yusufu Chippo. Taarifa ya klabu iliyotolewa asubuhi hii imedokeza kuwa klabu hiyo itakuwa chini…




