JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Biteko asisitiza wachimbaji kuzingatia sheria

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Geita Waziri wa Madini,Dkt.Doto Biteko amewasisitiza wachimbaji wa madini nchini kuzingatia Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo inayosimamia Sekta ya Madini ili wachimbe rasilimali hiyo kwa manufaa ya wachimbaji na jamii kwa ujumla. Dkt.Biteko amesema hayo Januari 3, 2023…

DC Moyo apiga marufuku kampuni za ulinzi kuajiri wasiopitia mafunzo

Na Fredy Mgunda,JamhuriMedia,Iringa Serikali ya Wilaya ya Iringa imezitaka kampuni za ulinzi kuajiri wafanyakazi waliopitia mafunzo ya kijeshi ili kuboresha ufanisi wa kazi katika sekta ya ulinzi wa mali za UMMA, serikali,watu binafsi na mashirika binafsi. Akifunga mafunzo ya jeshi la…

LATRA yaweka wazi nauli za mabasi ya mwendokasi,pikipiki

Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA), imetangaza nauli mpya za mabasi ya Mwendo kasi yanayofanya kazi zake jijini Dar es Salaam huku ikijiandaa kupanga nauli za treni ya mwendokasi (SGR) Akitangaza nauli hizo mbele ya waandishi wa habari jana…

Simba wanapotaka Samba na Baikoko zichezwe pamoja

Mna uhakika kwamba kocha Roberto Oliviera ataweza kufanya vizuri akiwa pamoja na Juma Mgunda na Selemani Matola au mnasubiri mambo yaharibike mumshushie lawama Selamani Matola? Sisemi kwamba Robertinho hatafanya vizuri lakini ikiwa atapata matokeo mabaya hata mechi moja kwa sababu…

Kauli ya rais yawaleta wanasiasa kutoa ya moyoni

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kutangaza rasmi kuruhusu kuanza kufanyika kwa mikutano ya vyama vya siasa nchini kuanzia leo ni cha kufufua…