JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zimamoto na Uokoaji wasaidiwe kukabili changamoto

Na Zulfa Mfinanga, Dodoma Licha ya kuwepo kwa Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchin haina mfumo wa dharura wa uokoaji katika ajali za barabarani. Sheria ya Zimamoto na Uokoaji Cap 427 ya mwaka 2008, Kifungu c cha (1)…

MAFANIKIO YOYOTE YANA SABABU (37)

Na Padri Dk. Faustine Kamugisha Moyo ni sababu ya mafanikio. Unapoweka moyo wako wote katika lile unalolifanya utafanikiwa. “Fanya kazi kwa moyo wako wote, na utafanikiwa – kuna ushindani mdogo, ” alisema Elbert Hubbard. Kuna methali ya Tanzania isemayo: “Moyo…

Bandari: Hatua za kuagiza mzigo nje ni hizi

Na Mwandishi Maalumu Kutokana na maombi ya wasomaji wa makala za Bandari ku JAMHURI, ambao wameomba turudie kuchapisha baadhi ya kuwathamini wasomaji na wadau wetu tumekubali kurudia makala h Moja ya makala ambazo wasomaji wetu waliomba turudie ni ya ambazo…

Ni neema ya Mungu, nilikiona kifo – Kigwangalla

*Asimulia tukio zima la ajali waliyoipata, aelezea afya yake *Awashukuru wananchi kwa kumwombea *Alitangaza wosia, watu anaowadai na wanaomdai Nianze kwa msemo maarufu wa lugha ya Kiswahili usemao: “Kama haujui kufa, tazama kaburi.” Anayeweza kuthibitisha maneno haya ni yule aliyenusurika…

Makala: Jinsi Waafrika Walivyonyimwa Bia

Sehemu ya tatu, mwandishi wa makala hii aliishia kwenye maelezo ya namna Waafrika walivyozuiwa kunywa bia katika Hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa. Sehemu hii ya nne na ya mwisho, mwandishi anaeleza umuhimu…

Diwani kituko, anawaliza wananchi

Na Helena Magabe, Tarime Wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa dhahabu wa Kebaga uliopo Kata ya Kenyamanyori, Tarime, Mkoa wa Mara, wamemlalamikia diwani wa kata hiyo kwa kuwanyanyasa vijana pamoja na wachimbaji wadogo. Diwani huyo aitwaye, Ganga Ganga, anatuhumiwa kuwakamata…