JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mjue Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka

  DAR E SALAAM NA MWANDISHI WETU, Akiwa ziarani katika Mkoa wa Simiyu, Rais John Magufuli, alimsifu Mkuu wa Mkoa huo, Anthony Mtaka, na kumtaja kama kiongozi mahiri aliyefanya mambo mengi, mazuri kwa muda mfupi. Akasema awali alipopendekeza jina la…

Ndugu Rais Katibu Mkuu CCM awe tumaini letu

Ndugu Rais, ni lini mwokozi wangu atapita kwangu nami nipate kuligusa pindo la vazi lake ili haya ninayowalilia waja wake yafike mwisho? Maskini aliye na raha ya Mungu ana raha ya milele! Chama Cha Mapinduzi kimepata Katibu Mkuu mpya. Na…

MAFANIKIO YOYOTE YANA SABABU (38)

Na Pd. Dk. Faustin Kamugisha Mtandao chanya wa watu ni sababu ya mafanikio. Huwezi kupiga makofi kwa mkono mmoja. “Ukitaka kwenda kwa haraka sana, nenda peke yako. Ukitaka kwenda mbali, nenda pamoja na wengine.” (Methali ya Kiafrika). Hawa wanaotajwa kama…