Latest Posts
Kenya kuandaa riadha ya vijana wasiozidi miaka 20 mwaka 2020
Bodi ya shirikisho la riadha duniani , IAAF imeuchagua mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuwa mwenyeji wa mashindano ya riadha ya ulimwengu ya vijana wenye chini ya umri wa miaka 20 yatakayoandaliwa mwaka 2020. Uamuzi huo wa kuchagua mji huo…
Meja Jenerali Qassem Soleimani wa Iran amuonya Trump
Kamanda wa kikosi maalum cha Iran amemuonya rais Donald Trump kwamba taifa lake litaharibu ‘kila kitu kinachomilikiwa na rais huyo’ iwapo Marekani itashambulia Iran. Meja Jenerali Qassem Soleimani aliapa kwamba iwapo bwana Trump ataanzisha vita, ‘jamhuri ya Iran itamaliza vita…
Diamond azuiwa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
Diamond Platnumz na msafara wake walikuwa katika hali ya taharuki kwa saa kadhaa baada ya kuzuiwa na Baraza la sanaa nchini Tanzania, BASATA walipokuwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwenda kutumbuiza nje ya nchi…
Waziri Lugola maliza sakata la Lugumi
Ni miaka miwili na nusu sasa tangu Watanzania walipoanza kusikia kuhusu sakata la Kampuni ya Lugumi Enterprises kushindwa kufunga vifaa vya kuchukulia alama za vidole kwenye vituo 108 vya Polisi, kama mkataba wa kampuni hiyo na Wizara ya Mambo ya…
Watu 20 wauawa Baada ya Bwawa Kupasuka Laos
Waokoaji wameanza harakati za uokoaji wa manusura baada ya bwawa kupasuka siku ya Jumatatu jioni , na kusababisha mafuriko yaliowauawa watu 20 katika vijiji Takriban watu 100 wametoweka na maelfu kupoteza makao yao. Mamlaka katika mkoa wa Attapeu imekuwa ikitumia…





