Latest Posts
Jaji Mtungi ajitosa usuluhishi CUF
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeingilia kati mgogoro wa uongozi unaoendelea kufukuta ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), baada ya kuanza kuzisikiliza pande zinazosigana. Mgogoro huo umeibuka hivi karibuni baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Profesa Ibrahim…
Yatakayomkwamisha Rais Magufuli… (2)
“Tanzania sawa na Hamaphrodite anayeona aibu kujitangaza” Nakiri kutoka moyoni kwamba simtakii mabaya Rais Magufuli wala simtabirii kushindwa, sitafurahi akikwama kuifanyia nchi yetu jema lolote alilodhamiria.Nayaweka wazi mazingira yanayoweza kumkwamisha ili akiweza ajiepushe. La kwanza linaloweza kumkwamisha ni kuthubutu kuurudisha…
Sheria ya mito na bahari…2
Sababu ya Ukoloni Mamboleo ni hiyo hiyo: ni kulinda mirija ya wakubwa. Na madhali mirija ya wakubwa inalindwa, wakubwa wataendelea kutajirika na nyinyi waswahili mtaendelea kuwa masikini. Hivyo ndiyo sababu ya kwanza ya unyonjaji. Sababu ya pili ni ile ambayo…
Afrika inamheshimu Rais Magufuli
Leo naitafuta wiki ya pili tangu nifike hapa Accra, Ghana. Naendelea na mafunzo juu ya mafuta, gesi na madini. Mafunzo haya yanalenga kuwapa utaalam watu mbalimbali; waandishi, makarani wa bunge, maafisa wa serikali, vyama vya kijamii, viongozi wa jadi na…
Kupungua kwa mizigo Bandari ya Dar es Salaam
Taarifa hii imetumia takwimu za shehena ya mizigo iliyopitia bandari ya Dar es Salaam kwa kipindi cha miaka miwili, Mwaka 2014 na 2015. Aidha, uchambuzi wa kina umefanyika kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Aprili katika Mwaka wa Fedha wa…
Afrika irejee misingi yake
Kwa wale Watanzania waliokuwapo kwenye ile miaka ya mwanzo ya uhuru wa nchi yetu, bado watakuwa na kumbukumbu ya wimbo ufuatao. “Bara la Afrika twalilia ukombozi; Ukoloni mbaya na ubaguzi wa rangi; Mataifa hayo ya Ulaya ndiyo Afrika kuivamia; Mababu…