JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi 3,000 wasotea fidia Mbeya

Wananchi 3,113 wa Mbarali mkoani Mbeya, waliohamishwa kutoka katika vijiji wilayani humo kupisha upanuzi wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kabla ya kupunjwa fidia za maeneo yao, wamesema Serikali imeshindwa kuwalipa fidia licha ya kutathmini upya maeneo yao mwishoni mwa…

Waziri avunja mtandao Bandari

Wiki chache baada ya Gazeti la JAMHURI, kutoa taarifa juu ya viongozi wa Bandari ya Dar es Salaam wanaotajwa kutumia kampuni wanayoimiliki kupata zabuni licha ya kutokuwa na sifa, Serikali imeingilia kati na kuvunja mtandao unaogawa kazi kimizengwe. Tayari Waziri…

Maskini anapopuuza kunyimwa misaada!

Machi 28 mwaka huu, Serikali ya Marekani ilisitisha na kuvunja uhusiano wake na Serikali ya Tanzania katika mambo yote yanayohusu miradi ya mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) kwa kuondoa dola za Kimarekani milioni 472.8 (zaidi ya shilingi trillion 1…

Jaji Mkuu Chande atembelea JAMHURI

Jaji Mkuu wa Tanzania (CJ), Othman Chande (pichani) Ijumaa iliyopita alifanya ziara ya ghafla katika ofisi za Gazeti la JAMHURI zilizoko katika Jengo la Matasalamat Mansion, barabara ya Samora jijini Dar es Salaam na kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Wahariri…

Utata waliofia mgodini TanzaniteOne

Usiri mkubwa unaendelea kufanywa na wamiliki wa mgodi wa TanzaniteOne mkoani Manyara, baada ya kubainika kufukiwa kwa watu watatu; watumishi wa mgodi huo. Watu hao walifukiwa kwa kile kinachoelezwa kwamba walishukiwa kuwa ni wavamizi walioingia mgodini kujitwalia madini ya tanzanite….

TBL wakwepa kodi hadi Uingereza

Kwa muda wa wiki sita tumekuwa tukikuletea mwedelezo wa taarifa jinsi kampuni ya SABmiller inayomiliki Kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL) inavyotumia udhaifu wa kisheria kutolipa kodi sahihi. Ifuatayo ni taarifa ya utafiti uliofanywa na Kampuni ya Uingereza iitwayo ActionAid…