JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbunge Mafia alia na Dk Machumu

Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema Taasisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) imekuwa ikiwaibia mapato halmashauri ya Mafia, yatokanayo na ada ya tozo la kiingilio kwenye maeneo iliyoyachukua kwa ajili ya shughuli za uhifadhi. Dau amesema taasisi…

Tusikubali kuibiwa tena

Kwa miezi miwili sasa tumekuwa tukishuhudia taarifa zenye kupasua mioyo ya Watanzania wanaoishi kwa mlo mmoja na kuishi katika umaskini wa kutupwa. Watanzania wamesikia taarifa za nchi hii kuibiwa wastani wa Sh trilioni 108 kupitia makinikia yaliyosafirishwa nje ya nchi…

Awadhi awatumia salamu madereva

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, ACP Awadhi Haji amewataka askari wote wa Usalama barabarani katika Mkoa wake kusimamia maadili ya kazi hiyo na kuonya juu ya askari wanaoendelea kujihusisha na vitendo vya upokeaji rushwa….

Kila upande hautaki kusikia haya!

Leo naandika Sitanii ngumu. Ni ngumu kwa misingi kwamba kila atakayesoma makala hii ya leo, kuna mambo ataburudika hadi atamani kunipigia simu ya pongezi, lakini pia, kuna mambo atasoma kama si mvumilivu, atatamani kunipigia simu kunitukana. Nitatahakiki suala hili la…

Uhamiaji watoa pasipoti kinyemela

Idara ya Uhamiaji imeanza uchunguzi kuwapata watumishi wake walioshiriki kumpa hati ya kusafiria, Mkurugenzi wa shirika lisilo la serikali (NGO) la Pastoral Women Council (PWC), Maanda Ngoitiko, anayedaiwa kuwa ni raia wa Kenya. Shirika hilo linaloendesha shughuli zake Ngorongoro mkoani…

Ndugu Rais watoto wasiandaliwe vitabu-sumu vingine

Ndugu Rais, Watanzania wanapaswa kumshukuru Mungu kumpata rais anayethubutu. Katika kipindi kifupi umegusa mambo mengi yenye uzito mkubwa ambao wenzako wasingethubutu! Hata kama hutafanikisha, lakini historia itasema huyu alithubutu! Kwa makaburi uliokwishafukua mpaka sasa, nani mwingine angeweza? Wakati unaendelea na…