JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nakutambua, nitambue (2)

Wiki iliyopita, nilitaja thumni ya mali na rasilimali zote nilizonazo juu na chini ya ardhi na baharini. Utajiri huo mkubwa unanipa hadhi na heshima ya kukimbiliwa na majirani na marafiki zangu. Si kufuata mali tu, bali pia kufuata maongezi, ucheshi,…

Yah: Kasi ya hapa kazi tu bajeti zinasomwa kila mwezi ndani ya familia

Watu wengi wanasifu kasi ya kaulimbiu ya Serikali ya Awamu ya Tano ya ‘hapa kazi tu’, na kweli inaonekana kuna kazi inafanyika, matokeo chanya yanaonekana dhahiri bila shayiri na kwamba kwa kasi hii baada ya miaka mitano kutakuwa na kitu…

Sozigwa kafariki akidai mafao

Buriani Paulo Sozigwa, umetangulia mbele ya haki bila kupata mafao yako ambayo umeyadai kwa miongo kadhaa. Sozigwa amefariki Ijumaa ya wiki iliyopita, jijini Dar es Salaam. Paul sozigwa amefariki dunia Ijumaa ya wiki iliyopita, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya…

Mfumo wa kuwapata wabunge EALA haufai

Tumewapata Watanzania kenda ambao kwa miaka mitano ijayo watatuwakilisha kwenye Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Waliochaguliwa ni Fancy Nkuhi (CCM), Happiness Legiko (CCM), Maryamu Ussi Yahya (CCM), Dk. Abdullah Makame (CCM), Dk. Ngwaru Maghembe (CCM), Adam Kimbisa (CCM), Habib Mnyaa…

Tenga ajiandaa kuleta mageuzi katika soka

Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Leodegar Chilla Tenga, amesema jukumu lake la kwanza katika majukumu yake mapya katika kamati ya usimamizi wa leseni za klabu za Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ni kuhakikisha ustawi wa…

Zitto anyukwa

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT), Zitto Kabwe ameangukia pua baada ya kubainika kuwa hoja anayojenga bungeni ni ya “kubumba”, Uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Kwa muda sasa Zitto amekuwa akitoa matamko bungeni na kuandika katika mitandao ya kijamii kuwa ndege ya…