JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Idara ya Usalama ipongezwe

Kama Watanzania wataulizwa leo nini walichokuwa wakikitarajia kwa nchi yao ya uhuru na kazi, basi jibu ni moja tu kwamba tulikuwa tunataka mabadiliko ya kuachana na mabepari wachache waliohodhi mali zetu ambazo tulizipata kutokana na jasho la siasa ya Ujamaa…

Sheria inasemaje unapoua wakati ukijaribu kujilinda?

Wakati  mwingine  kujilinda  waweza  kukuita  kujitetea, kujiokoa au kujikinga.  Ni hali ambayo  mtu hufanya jitihada za kujinasua katika  tendo ovu linalotekelezwa na  mtu  mwingine  dhidi  yake.   Mfano  wake  ni  kama  kuvamiwa  na  majambazi, kutekwa, kufanyiwa  fujo  ya  aina  yoyote,…

Mabadiliko ya mwaka yaende sambamba na siasa za nchi

Huu ni Mwaka Mpya. Nawatakia Watanzania wote heri ya Mwaka Mpya wa 2016.  Kawaida Wahaya wana jadi ya kuupa jina kila mwaka unaokuja. Mwaka huu wameupa jina la ‘yangua’ lenye maana ya harakisha. Jina hilo limetungwa na Filbert Kakwezi, kijana…

Vituko vya JK

Kwa miaka 10 mfulululizo Rais (mstaafu) Jakaya Kikwete hakutoa kipaumbele katika bajeti ya maendeleo hali iliyoathiri uchumi wa nchi na hivyo kudumaza uchumi wa mtu mmoja mmoja, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Mapitio ya kibajeti yanaonyesha kuwa Rais Kikwete alitilia mkazo…

Tanzania ikikusanya kodi haihitaji misaada

Tanzania kwa sasa inaweza kujiendesha bila kupata msaada wa nchi yoyote iwapo kasi ya ukusanyaji mapato, kuziba mianya ya uvujaji na matumizi sahihi ya kinachokusanywa itaendelea ilivyo sasa chini ya Rais John Pombe Magufuli. Uchunguzi wa mfumo wa kodi, mbinu…

Diwani CCM avamia barabara, ajenga

Diwani wa Kata ya Kijichi, Anderson Chale, analalamikiwa na wananchi wa mtaa wa Mbagala Kuu, Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam kwa kuvamia eneo la barabara na kujenga jingo. Wananchi hao wanasema kutokana na uvamizi huo uliofanywa kwa makusudi…