JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watanzania tujihadhari, misaada na mikopo

Kasi ya utendaji kazi za Serikali katika awamu hii ya tano, imeanza na dalili njema ya kuwaletea mabadiliko ya kweli ya kurudisha mfumo wa utawala bora ambao utaboresha maisha ya Watanzania, uchumi imara na maendeleo himilivu. Watanzania wameanza kupiga mayowe…

Ukomavu wa kisiasa na woga wa mabadiliko

Mara zote Watanzania wamejitambulisha kama wakomavu wa siasa, ukomavu usioeleweka namna ulivyo kama nitakavyoonesha hapa chini. Ikumbukwe kwamba mara baada ya Tanganyika (Tanzania Bara) kujitawala kabla ya kuungana na Visiwa vya Zanzibar, iliamriwa kwamba ni bora nchi ikafuata udikteta wa…

Profesa Muhongo ni uteuzi makini

Baraza la Mawaziri la Rais John Pombe Magufuli limetoa kile ambacho walio wengi walikuwa wanakitarajia kufuatia mambo mengi aliyoanza nayo, ambayo walikuwa hawakuyazoea. Rais Magufuli alianza kwa kumteua waziri mkuu ambaye kusema ukweli hakuna aliyekuwa akimuwazia. Ilikuwapo idadi kubwa ya…

Namuona Mourinho akitua Man United

Kwa wasiofahamu ni kwamba Kocha Jose Mourinho mbali ya kuwa na utani wa jadi na Arsene Wenger wa Arsenal, lakini alikuwa na upinzani mkali hasa wa maneno ya karaha na Sir Alex Ferguson, kocha wa zamani  wa Manchester United. Ferguson…

JK alivyoiumiza nchi

Ukiwa ni mwezi mmoja tangu Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, ang’atuke kikatiba, duru za uchunguzi zinaonyesha kuwa kiongozi huyo aliliumiza Taifa kwenye nyanja nyingi. Wakati akiingia madarakani mwaka 2005, deni la Taifa lilikuwa Sh trilioni 5.5; lakini miaka…

Makachero 32 wapanguliwa Moshi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limewaondoa maofisa wake 32 kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (CID) na kuwapeleka katika vitengo vingine. Wamehamishwa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kwenda kinyume cha maadili na mwenendo wa Jeshi hilo. Aliyekuwa…