JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mchele una chuya na chenga – 2

Mpunga unapotaka kuupata mchele wake lazima uutwange. Kamwe usitarajie kupata mchele bila ya chuya na chenga baada ya kutoa pumba. Vyama vyetu vya siasa vinafanana na mpunga. Iwe CCM, CUF, ACT-Wazalendo, TLP, Chadema na kadhalika vina mchele, chuya na chenga….

Yah: Huu ndiyo Mwaka Mpya usio na tofauti na uliopita

Leo tuna siku ya tatu baada ya Mwaka Mpya kuanza. Wapo ambao labda walikuwa na mipango mbalimbali waliyopanga wangefanya mwaka huu lakini isivyo bahati hawakuweza kufika kwa mapenzi yake Mola – mwenye kutoa rehema zake ndogo na kubwa. Leo ni…

Upo umuhimu wa kuweka nadhiri za Mwaka Mpya

Desturi ya kuweka nadhiri mwanzoni mwa mwaka ni desturi yenye chimbuko la desturi za kale za jamii za magharibi, na hata zile za bara Asia. Inasemekana Wababeli, wakazi wa kale wa eneo ambalo sasa ni Iraq, walikuwa na desturi mwanzoni…

EPL kuwakosa wachezaji 26

Wakati baadhi ya mataifa yakijiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baadhi ya ligi za barani Ulaya zitawakosa nyota wake wanaotoka barani Afrika. Ligi ya Uingereza pekee itawakosa wachezaji 26. Fainali hizo za AFCON zitaanza kutimua vumbi…

Faru John wamemnywa

Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, amekalia kuti kavu baada ya taarifa kuanza kuvuja na kuonesha kuwa aliwasilisha pembe za faru ‘feki’ kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Taarifa za uhalisia wa pembe alizowasilisha zinaacha maswali mengi baada ya…

Wauza ‘unga’ wabuni mbinu

Wafanyabiashara haramu ya dawa za kulevya nchini wamebuni mbinu mpya za kukwepa kukamatwa na vyombo vya dola wanapofanya biashara hiyo, JAMHURI limebaini. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebainisha kuwa wafanyabiashara wamefikia hatua hiyo kwa nia ya kusafirisha ‘mizigo’ bila kukamatwa. Kwasasa…