JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Septemba 11: Tukio lisilosahaulika Marekani (2)

Washington Dulles – American 77   Umbali mrefu wa Kusini Magharibi mwa Boston, viunga vya Virginia, Washington DC zaidi ya wanaume watano walikuwa wakijiandaa kupanda ndege saa 1:15 asubuhi. Miongoni mwao walikuwako Khalid Al Mihdhar na Majed Moqed. Walikaguliwa, ikakaguliwa…

Mkicheka na wamachinga watatundika mitumba Ikulu

Kampeni za Uchaguzi Mkuu zinaendelea. Mengi yanazungumzwa na wagombea na wafuasi wao. Ahadi nyingi za wagombea urais zinalenga kuwashawishi wapigakura wawachague. Zipo ahadi zinazofanana. Elimu, maji, vita dhidi ya mafisadi na wala rushwa, mikopo kwa wajasiriamali, ajira na ukomeshaji aina…

Wapumbavu na malofa sasa wanataka filamu ya Escrow

Sakata la kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond iliyopewa zabuni na serikali kwa njia za ubabaishaji limeendelea kushika kasi huku likiibuliwa kwa sura tofauti likitumiwa na CCM kuomba kura kwa wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu….

Yah : Naomba uchaguzi ufanyike kesho basi, maisha yanazidi kuwa magumu

Kila siku ni nafuu ya jana, watu wana sura za furaha lakini hawajui kesho yao itakuwaje, mimi ni mmoja wao kati ya hao ambao kesho yao ni hadithi sijui itakuwaje, leo ni nafuu ya kesho lakini ngumu kuliko jana na…

Wapigakura tujifunze kwa mashabiki wa soka

Tanzania hatujawahi kushuhudia kumangamanga ndani ya medani ya siasa kama wakati huu. Nasita kutamka kuwa wote wanaomangamanga ni wanafiki wa kisiasa, lakini ukweli ni huo kwa baadhi yao. Kigeugeu nje ya siasa hawezi kuathiri majaliwa ya watu wengi, lakini anaposhika…

Biashara za ‘Kidijitali’

Mwezi uliopita nilizindua kitabu changu kipya kiitwacho ‘MAFANIKIO NI HAKI YAKO’ ambacho kinauzwa kwa njia ya mtandao. Jambo kubwa nililolifanya kutokana na kitabu hiki ni kuandaa mfumo unaoendelea kumsaidia mtu anayenunua kitabu hiki kuyaweka katika vitendo yale atakayoyasoma na kujifunza…