Latest Posts
Kupungua kwa mizigo Bandari ya Dar es Salaam
Taarifa hii imetumia takwimu za shehena ya mizigo iliyopitia bandari ya Dar es Salaam kwa kipindi cha miaka miwili, Mwaka 2014 na 2015. Aidha, uchambuzi wa kina umefanyika kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Aprili katika Mwaka wa Fedha wa…
Afrika irejee misingi yake
Kwa wale Watanzania waliokuwapo kwenye ile miaka ya mwanzo ya uhuru wa nchi yetu, bado watakuwa na kumbukumbu ya wimbo ufuatao. “Bara la Afrika twalilia ukombozi; Ukoloni mbaya na ubaguzi wa rangi; Mataifa hayo ya Ulaya ndiyo Afrika kuivamia; Mababu…
Ndugu Rais, nchi inawayawaya kwa kukosa busara
Ndugu Rais, mtikisiko uliosababishwa na ukuta wa Septemba mosi, umeitikisa nchi yetu vibaya! Nchi imetapatapa na kuyumbayumba na sasa nyufa zimetokeza! Ni ukweli kwamba tangu tupate Uhuru wananchi hawajawahi kushuhudia serikali yao ikitetemeshwa kwa hofu kama ilivyotetemeshwa kuelekea tishio la…
Malumbano ya ‘Tuepuke sumu hizi’
Nimebahatika kuletewa malumbano ya baadhi ya wasomaji wa makala yangu juu ya “Tuepuke sumu hizi” katika Jamiiforums. Mimi sielewi wasomaji hawa wanapotezaje muda kuoneshana nani kasoma nini, na nani hawezekaniki kitaaluma. Mimi nilijiandikia hali niionayo kimtazamo wangu. Watanzania kweli tuna…
Nimeziona barabara, hii ya Butiama ni janga!
Watanzania wangependa kuona kazi nyingi za ujenzi wa barabara zikifanywa na mandarasi wazalendo. Rais John Magufuli, akiwa Waziri wa Ujenzi, alikuwa mstari wa mbele kuhimiza umoja, weledi na kujituma miongoni mwa makandarasi wazalendo ili waweze kufanya kazi ambazo kwa muda…
Yah: Mheshimiwa Rais Magufuli, hawa ndiyo Watanzania niwajuao
Anaamka asubuhi kama mbwa koko anayefikiria siku hiyo itaishaje na rizki yake iko miguuni mwake, ni sala tu ya Muumba wake kumuamsha akiwa na siha njema pasi na maradhi ya kumlaza kitandani. Ni Mtanzania mwenye haki zote za kibinadamu; ana…