JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jihadhari; haya ni mazingira ya kufutiwa umiliki wa ardhi

Watu wengi wana maeneo lakini wameyatelekeza. Kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, kutelekeza eneo ni kosa ambalo mtendaji wake ambaye ni mwenye eneo anatakiwa kuadhibiwa. Nitoe tahadhari kuwa si vema watu kujisahau baada ya kuwa wamemiliki maeneo. Wakati…

Tunalindaje kampuni zetu?

Wakati fulani kule Marekani kulitokea malumbano makali baina ya kampuni mbili kubwa zenye nguvu na ushindani mkali. Kampuni zilizohusika katika sakata hili zilikuwa ni ile ya Brother na nyingine ni Smith Corona. Kampuni hizi zilijihusisha na utengenezaji wa bidhaa zinazofanana…

Kwaheri De Gea, karibu Mkwasa

Ni mkono wa kwa heri kila kona; huku tunaagana na Mart Nooij kule katika Jiji la Manchester, ambalo linakuwa na anga nyekundu mara bluu, kuna kuagana na David De Gea. Presha imekuwa kubwa na haizuiliki tena watu kurudi katika asili…

JK awatumia Wazee kumng’oa Lowassa

Baraza la Ushauri la Wazee wa CCM linaundwa na wajumbe sita ambao ni wenyeviti na makamu wenyeviti wastaafu Taifa wa chama hicho. Nao ni Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi (Mwenyekiti), Makamu Mwenyekiti mstaafu (Tanzania Bara), Pius Msekwa (Katibu); Benjamin Mkapa…

Manispaa Kinondoni ‘yauza’ barabara

Serikali Kuu na Manispaa ya Kinondoni wameruhusu ujenzi wa Shule ya Saint Florence Academy iliyopo Mikocheni “B”, Dar es Salaam juu ya barabara. Hatua hiyo, licha ya kuwa imevunja sheria za Mipango Miji, imekuwa kero na hatari kwa usalama wa…

Chanjo ya mwekezaji hatari

Mwekezaji wa kampuni ya utafutaji wa mafuta na gesi kwenye miamba iliyopo chini ya maji katika eneo la kusini mwa Ziwa Tanganyika, amezua tafrani kwa kuwalazimisha wafanyakazi kuchanja dhidi ya magonjwa ya tumbo (typhoid). Kampuni hiyo ya Beach Petroleum inayomilikiwa…