Latest Posts
Mtoto wa Kova yumo
Sakata la wizi na upotevu wa makontena limechukua sura mpya baada ya vituko kadhaa kujitokeza ikiwamo watuhumiwa ambao ni watoto wa vigogo kupata dhamana kimizengwe. Ukiacha hilo, watendaji walioteuliwa na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Badari, Madeni Kipande kusimamia upakiaji…
Bandari, TRA wanavyohujumu kodi
Serikali ya Rais John Pombe Magufuli inayo kazi ya ziada kudhibiti uvujaji wa mapato, kwani imebainika kuwa waliokabidhiwa kazi ya kukusanya kodi, wamejipanga kuhujumu mapato ya nchi, uchunguzi wa gazeti JAMHURI kwa mwaka mmoja umebaini. Imebainika kuwa makontena yanayoleta sintofahamu…
Maalim Seif abana
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ametajwa kuwanyima usingizi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Taarifa ambazo gazeti hili…
Gari la askari lasafirisha wahamiaji haramu
Polisi mkoani Tanga, wanafanya kila linalowezekana ili gari la askari wa Jeshi hilo lililokamatwa likiwa na wahamiaji haramu 10 liachiwe. Duru zinaonyesha kuwa polisi wamekuwa kwenye msuguano na Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Tanga, wakitaka gari la mwenzao lisiendelee kushikiliwa…
Serikali ya maprofesa, madaktari, mainjini… hatutarajii porojo
Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na uchambuzi ulionigusa kidogo. Nimebaini kuwa Baraza la Mawaziri linaongozwa na Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli (PhD – Chem&Maths), limejaa wasomi. Wasaidizi wake wakuu ni Makamu wa Rais: Samia Suluhu (Msc…
Kodi vifaa vya gesi zifutwe, tuokoe misitu
Mungu alitupendelea Watanzania. Akatupatia ardhi na misitu mingi, mizuri na yenye tija kubwa kwa binadamu na viumbe hai wengine. Uzuri wa Tanzania sasa unaharibiwa na Watanzania wenyewe kwa uamuzi haramu wa kuteketeza misitu ya asili. Takwimu zinaonyesha kuwa hekta 400,000…