Latest Posts
Paroko RC aishiwa uvumilivu, awacharaza viboko Wasabato
PAROKO wa Parokia ya Urumi, iliyoko Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Padri Peter Twamba, amewajia juu waamini wa Kanisa la Waadivetisti Wasabato, waliotuhumiwa kukashifu imani ya Kanisa Katoliki (RC).
Tukio hilo lilitokea kanisani hapo, Jumapili ya 23 ya mwaka ‘A’ (kijani) ya Septemba 7, mwaka huu saa 3 asubuhi mara baada ya misa ya asubuhi kanisani hapo.
Nyalandu aanza kulipa ndege aliyofadhiliwa
Mara baada ya Balozi Khamis Kagasheki kujiuzulu kutokana na shinikizo la wabunge kadhaa, baada ya taarifa ya James Lembeli juu ya Operesheni Tokomeza kuwasilishwa bungeni Novemba, mwaka jana; Lazaro Nyalandu, wakati huo akiwa ni Naibu Waziri katika Wizara ya Maliasili na Utalii, alisafiri sana huku na kule nchini.
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Habari mpya
- Kim Jong Un akerwa na ajali kwenye uzinduzi wa meli ya kivita
- Trump amshambulia Ramaphosa kwa mauaji ya wazungu
- Kenya yajitenga na Karua yatetea uamuzi wa Tanzania
- Ifahamu mimea mitano inayolindwa zaidi duniani
- Iran yasisitiza haitoacha urutubishaji wa urani
- Waziri Mkuu aongoza mkutano wa kazi wa mawaziri
- Waziri Mkuu wa zamani DRC ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa ufisadi
- DCEA yateketeza mashamba ya bangi ekari 157 Kondoa
- Tanzania yajipanga kuja na Mahakama ndani ya SGR
- Mwinyi: Mkopo wa bil 240/- kujenga skuli 23 za ghorofa
- Wanajeshi sita wa Ukraine wauawa katika shambulio la Urusi
- Tanzania yanadi fursa za uwekezaji mnyororo madini muhimu London
- Jitihada za utunzaji wa mazingira Tanzania, Norway zawekwa bayana
- Wadau wapitia mkakati wa taifa wa kupunguza uzalishaji wa gesijoto
- Rais Namibia atembelea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam