JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wizara ya Lukuvi ‘yashindwa’ Kutekeleza Agizo la Waziri Mkuu

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi haijatekeleza agizo la Ofisi ya Waziri Mkuu, kuwachukulia hatua watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Kahama kwa uzembe na kukaidi agizo la kushughulikia uporwaji ardhi na nyumba ya mkazi wa kijiji cha…

RAIS MAGUFULI ASHINDA TUZO YA MANDELA

Kamati ya Tuzo za Mandela huko Afrika Kusini zimempa Rais John Magufuli Tuzo ya Amani ya Mandela ya Mwaka 2017 ikiwa ni kutambua jitihada zake katika kulinda amani na kupigania usawa wa kijamii. Tuzo hiyo ya amani ya Mandela ilikuwa…

BREAKING: George Weah Ashinda Kiti cha Urais

Mwanasoka bora wa Dunia mwaka 1996, George Weah ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais nchini Liberia baada ya kukamilika kwa duru ya pili ya uchaguzi.

Krisimasi Ilikuwa Chungu kwa Waasi ADF, Wachapwa Kutokea Uganda

Jeshi la Wananchi la Uganda (UPDF) limewashambulia waasi wa kikundi cha Allied Democratic Forces (ADF) cha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). ADF wanahusishwa na shambulizi la Desemba 7, mwaka huu lililofanyika kwenye kambi ya askari hao ya Simulike, Mashariki…

Bomu la Airtel, Vigogo Hawa Wamekalia Kuti Kavu

Moto aliouwasha Rais John Magufuli wiki iliyopita kwa kutaka ufanyike uchunguzi wa kina juu ya umiliki halisi wa kampuni ya Airtel umegeuka bomu linaloelekea kuwalipukia vigogo wanaoheshimika kwa kiasi kikubwa hapa nchini, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Tayari Taasisi ya Kuzuia…

SERIKALI YAFAFANUA KUHUSU CHANELI ZA BURE PINDI WANANCHI WANAPOISHIA NA VIFURUSHI

Kutokana na malalamiko ya mara kwa mara kwa wananchi kuhusu kukosa huduma ya runinga za bure pindi vifurushi katika visimbusi (ving’amuzi) vyao vinapomalizika, serikali imetolea ufafanuzi suala hilo kwa kueleza namna mfumo wa utendaji unavyotakiwa kufanya kazi. Akijibu maswali ya…