JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hotuba ya Rais Magufuli mkoani Simiyu

Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame, Waheshimiwa Waziri Hajji kutoka Zanzibar, Mheshimiwa Naibu Waziri Luhaga Mpina, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wa Mkoa wa Simiyu, Waheshimiwa wabunge wakiongozwa na Mbunge wa Jimbo…

Kafulila na ndoto ya mageuzi

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), aliyerejea chama chake cha zamani – Chadema – amesema kuwa moja ya mambo anayofikiria ni kugombea tena ubunge. Akizungumza na JAMHURI, Kafulila amesema kuwa ubunge ilikuwa ni moja ya ngazi ya kumuinua…

Ndugu Rais tuutafute ufalme wa mbingu kwanza!

Ndugu Rais, tuutafute kwanza ufalme wa mbingu na haya mengine yote tutayapata kwa ziada! Ufalme wa Mbingu hautafutwi kwa kubadilisha nyumba za ibada au madhehebu, leo kanisa hili na kesho kanisa lile kama majumba ya sinema kuona lipi leo linaonesha…

Mkuu wa Wilaya, OSHA wajitosa kemikali Geita

Siku chache baada ya JAMHURI kuripoti tukio la watu wawili kuathiriwa na kinachodhaniwa kemikali mkoani Geita, hali za waathiriwa wa kemikali hizo wameanza kubabuka ngozi. Wananchi hao wakazi wa kitongoji cha Kiomboi, kijiji cha Iririka kata ya Nyarugusu mkoani Geita,…

Amri hizi ni za uonevu

Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kadhaa wamepiga marufuku matumizi ya nafaka kutengenezea pombe. Wengine wameenda mbali zaidi kwa kuwaamuru wakulima kutouza mahidi mabichi. Mwishoni mwa mwaka juzi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alipiga marufuku matumizi ya chakula cha msaada…

Yah: Muungano ni kwa maendeleo si utumwa

Marekani ni muungano wa majimbo makubwa mengi ambayo yangeweza kuwa nchi kama ilivyo kwa nchi ndogo za Afrika, lakini majimbo yale ndiyo yanayofanya taifa moja la Marekani lenye nguvu duniani kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, kiteknolojia na kadhalika. Siri kubwa ya mafanikio ya…