Latest Posts
Kipande abanwa Bandari
Nyalandu aweweseka siri kuvuja
*Aanza kuwasaka wabaya wake, awatisha Aprili 22, mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na baadhi ya watendaji waandamizi wa Wizara hiyo mjini Dodoma, alitoa vitisho akiahidi kuwashughulikia wote aliodai kuwa wanavujisha siri za ofisi kwa watu…
Kipande abanwa Bandari
Yah: Tusichezee lugha yetu, wengine wanajuta
Wakati tunatawaliwa, wakoloni wote kwa awamu zao yaani Wajerumani, Waingereza na hata Wareno na Waarabu, wakati wakipita kwa biashara zao sisi Wazaramo na Wandengereko tulikuwa tunawasiliana kwa shida sana. Kuna wakati tulikuwa tunatumia lugha ya alama kuwasiliana. Baada ya kuanza…
Fedha zako ni kipimo cha imani yako
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wetu. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mchakato wa Katiba mpya, lakini ninasikitishwa na namna mwenendo wa Bunge hilo ulivyo.
Wiki iliyopita tumeshuhudia mgogoro wa kimakundi uliosababisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao vya Bunge Maalum la Katiba.
Binafsi ninaamini kuwa pande zote zitakaa chini na kufikia mwafaka ili Taifa letu lipate Katiba mpya.
Sasa tuendelee na uchambuzi wa leo unaohusu uhusiano wa imani zetu na umilikaji fedha.
Tangu lini wapinzani wanawapenda wananchi?
Vyama vya upinzani vilivyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) katika Bunge Maalum la Katiba vimesusia vikao vya bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.
Wapinzani wametoa sababu zao za kuchukua hatua hiyo. Kwa mfano, wamesema Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, wametoa vitisho kwamba kukiwapo Serikali tatu Jeshi litachukua nchi.
- Rais Samia akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Namibia
- Rais wa Jamhuribya Namibia akisalimiana na viongozi mbalimbali
- Rais wa Jamhuri ya Namibia akisalimiana majirani zake wakati akiishi Magomeni Mikumi Jijini Dar es Salaam
- Rais wa Jamhuri ya Namibia Netumbo akizungumza na waandishi wa Hlhabari Ikulu Dar es Salaam
- Rais Samia akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rais wa Namibia
Habari mpya
- Rais Samia akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Namibia
- Rais wa Jamhuribya Namibia akisalimiana na viongozi mbalimbali
- Rais wa Jamhuri ya Namibia akisalimiana majirani zake wakati akiishi Magomeni Mikumi Jijini Dar es Salaam
- Rais wa Jamhuri ya Namibia Netumbo akizungumza na waandishi wa Hlhabari Ikulu Dar es Salaam
- Rais Samia akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo Rais wa Namibia
- Waziri Mkuu apokea tuzo ya ufugaji nyuki nchini
- 148 mbaroni kwa ubakaji, ulawiti Arusha
- Rais Dk Samia akimkaribisha Rais wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah
- Kamati mpya ya ukaguzi Wizara ya Nishati yafanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani
- Polisi Dodoma yawaomba wananchi kutoa taarifa za wahalifu
- Askofu Dk Dickson Chilongani asimikwa kuwa Mkuu wa pili wa Chuo Kikuu cha St John Tanzania
- Wananchi zaidi ya milioni 9 wanufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
- Bunge lapitisha Tril 3.645/- ya Wizara ya Ulinzi na JKT
- Rais wa Namibia Dk Netumbo Nandi-Ndaitwah kuwasili Tanzania leo
- Serikali yatekeleza mradi wa kukabili mabadiliko ya tabianchi Zanzibar
Copyright 2024