JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tendulkar aaga rasmi kriketi

Mchezaji bora zaidi wa Kriketi nchini India mwishoni mwa wiki, ameaga  rasmi mchezo huo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 40 anatarajia kumenyana na West Indies katika mchuano wa mwisho wa mashindano ya yajulikanayo kama ,Test,  katika uwanja mashuhuri wa Wankhede.

Wasanii wa ‘Bongo’ wanavyotumia vibaya mitandao ya kijamii

Kuna wakati nilikuwa najaribu kuangalia stahili ya maisha ya baadhi ya wasanii wa muziki kutoka katika nchi nyingine. Lengo langu lilikuwa ni kuangalia na kutafuta chanzo cha wasanii wetu kufanya mambo ambayo ni kinyume na maisha ya kibongo.

Huu ni muda mwafaka kufungia viwanja?

Mzunguko wa kwanza Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara umefikia tamati hivi karibuni. Kuna timu ambazo zimefurahia awamu hiyo ya kwanza ya Ligi kutokana na kufanya vizuri.

Malaika kuingia sokoni kwa staili tofauti

Uongozi wa Bendi mpya ya muziki wa dansi ya Malaika iliyoundwa hivi karibuni, umesema kuwa umeamua kufanya muziki kwa kuzingatia ubunifu, tofauti na zilivyo bendi nyingine za muziki huo ili kukamata soko.

Katiba haiandikiki

  • CCM, Chadema, Profesa Shivji wasema muda hautoshi
  • Jaji Mtungi aonya, mnyukano waendelea, hofu yatanda

Kuna kila dalili kuwa Katiba mpya iliyotarajiwa kuzinduliwa Aprili 26, 2014 haiandikiki kwa maana kuwa muda huo hauwezi kutosha kukamilisha mchakato wa kupata Katiba hiyo, vyanzo vimelieleza gazeti la JAMHURI.

Sumaye kumtukana Lowassa unajidhalilisha, JK umenena

Mpendwa msomaji natumaini hujambo. Wiki hii nimejikuta kwenye mtanziko wa hali ya juu. Zimekuwapo mada nzito nzito, kwa kiwango nashindwa niandike juu ya ipi na kuacha ipi. Hata hivyo, mambo matatu nitayagusia. Mchango wa Waziri Mkuu wa zamani bungeni, Edward Lowassa, Mkutano wa Waziri Mkuu wa zamani Frederick Sumaye na hotuba ya mwaka ya Rais Jakaya Kikwete kuhusiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki.