Latest Posts
Taarifa rasmi ya Kambi ya Wanyamapoli bungeni
Mheshimiwa Spika, awali ya yote tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa Bunge lako tukufu kwa kutambua uwepo wetu hapa bungeni leo hii.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike
Siku inakuja ambapo watu watachagua kifo kuliko fedheha na ole wao wale watakoiona siku hiyo!
Na ole wao wale watakaoifanya siku hiyo isiepukike. Natumaini na kusali kuwa siku hiyo kamwe haitofika.
Kauli hii ilitolewa na Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Januari 1966
Michael Jackson anaongoza kwa utajiri
Mfalme wa muziki wa aina ya Pop, Marehemu Michael Jackson, ametajwa kuwa kati watu maarufu duniani waliofariki dunia ambao kazi zao zimeingiza kiasi kikubwa cha fedha katika kipindi cha mwaka mmoja, kuanzia Oktoba 2012 hadi Oktoba 2013.
Hammer Q auponda muziki wa Bongo Fleva
Mwimbaji Nyota wa Muziki wa Taarab nchini, Hussein Mohammed ‘Hammer Q’ (pichani kushoto) amesema kuwa alifanya muziki wa bongo fleva kama njia ya kutafuta njia ya kufanikiwa katika tasnia ya muziki.
Brandts aliisubiri Simba kuwapumzisha wakongwe?
Kati ya mambo yaliyojadiliwa na wapenzi wa soka wiki iliyopita, ni pamoja na matokeo ya mechi ya watani wa jadi — Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club (Mnyama) ya jijini na Dar es Salaam Young Africans (Yanga) yenye makao yake mitaa ya Jangwani na Twiga, baada ya timu hizo kutoka sare ya mabao 3-3 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa katika Dimba la Taifa Dar es Salaam.
Ubaguzi wa rangi washika kasi Ulaya
Kuna kila hali inayoonesha kuwa kwa sasa vitendo vya ubaguzi wa rangi, vinazidi kushika kasi katika soka barani Ulaya, pamoja na kuwa kumekuwa na kampeni za hapa na pale za kupiga vita dhidi ya vitendo vya ubaguzi.