Latest Posts
Ndugu Rais hapa umekandamiza mwanawane
Ndugu Rais, sasa naanza kuwaelewa wanawema wengi wanaosema mengi yaliyoandikwa katika kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu au ni utabiri au ni unabii! Tumwachie Muumba afanye kazi yake. Unaweza pia ukawa mfano wa mcheza bao hodari! Nasukumwa sasa kuwaelewa vema,…
Ofisi ya Waziri Mkuu kuwainua vijana
Katika mikakati ya kuinua uchumi wa nchi na mikakati ya uanzishaji wa viwanda, Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu imetoa mafunzo kwa vijana 9,120 katika fani mbalimbali na kukuza…
Paulo Sozigwa hakustahili kutendewa namna ile (3)
Duniani sisi watoto wote wa Adam na Hawa tumerithi woga wa kuamua mambo. Ili kukwepa lawama, tunasukumia wengine tatizo ili sisi tuonekane tu wasafi. Tabia hii ya kukwepa kuwajibika binadamu tumeirithi toka kwa Adam na Hawa (Eva) pale bustani ya…
Tuwaogope waporaji kwa kuwa ni Wazungu?
Wamarekani wanaweza kuwa na tofauti zao za ndani, lakini linapokuja suala linalohusu maslahi ya taifa lao huungana na kuwa wamoja. Ndivyo nchi inavyopaswa kuwa. Waasisi wa taifa letu walitambua thamani ya umoja na mshikamano wa wananchi. Wakautambua umoja kama moja…
Yah: Uamuzi wa kimkakati katika kila jambo ni roho ya mtu
Leo nimeamua kuanza na kauli hii kutokana na jinsi ambavyo uamuzi wa suala la makinikia lilivyovaliwa njuga na mkuu wa kaya na kuonesha wazi kuwa hakuna linaloweza kushindikana iwapo dhamira ya mtu binafsi inaweza kuamua kufanya jambo. Nimewaza mambo mengi…
Ngoma inakesha, isizimwe
Siku zilizopita, niliwahi kuzungumzia nafsi inavyoweza kutenda mambo mema au mabaya kutokana na binadamu anavyotaka. Naweza kusema kwa vile binadamu ameumbwa akiwa na silika; hali ya kujitambua na anapata uwezo wa kufanya lolote atakalo. Nafsi ni roho. Nafsi inayochungwa na…