Latest Posts
Lembeli: Mbunge mahiri au muuza nchi?
Vyombo kadhaa vya habari vimeandika taarifa za Mjumbe wa Bodi ya African Parks Network (APN), James Lembeli, kuwashitaki wanahabari na wahariri wa vyombo kadhaa vya habari.
Kwenye orodha hiyo, jina la Manyerere Jackton limo. Pamoja nami, kuna makomredi wengine walioamua kwa haki kabisa kusimama kidete kulinda rasilimali za nchi yetu. Wito wangu kwa wote — tusikate tamaa.
Hadi naandika makala haya, sijapokea barua yoyote kutoka, ama kwa Lembeli au katika Mahakama ikinieleza bayana suala hilo. Kwa sababu hiyo, bado taarifa hizi nazichukulia kama taarifa nyingine zisizo rasmi, ingawa lisemwalo lipo, na kama halipo, laja.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
Habari mpya
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
- PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
- Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
- Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
- Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu
- Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda
- Rais Samia asifu mchango wa taasisi za dini katika kukuza maadili
- JKCI yatoa elimu ya lishe kwa kutumia pyramid ya vyakula halisi
- Rais Dkt. Samia akiwaaga kwa kuwapungia mkono waumini wa Kanisa la Arise and Shine
- Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Comoro kesho