Latest Posts
Umoja wa Tanzania ni propaganda
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alituasa kwamba tufanye juhudi kuziba ufa mkubwa uliojitokeza katika Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, na kuendelea kuainisha nyufa nyingine. Lakini ni kama hatukumsikiliza na kumjali.
Tutaijutia amani tunayoichezea
Kwa muda wa mwezi sasa nchi yetu ipo katika migogoro isiyomithilika. Yamekuwapo matukio yanayotia shaka iwapo sisi wazazi tuna hakika na tunachostahili kuwapatia watoto wetu. Kule Mwanza na Geita yametokea mauaji yaliyotokana na mapigano kati ya Wakristo na Waislamu wakigombea kuchinja wanyama.
Utawala Bora hutokana na maadili mema (3)
Hata hivyo, siku hizi umeletwa utaratibu wa kuwa na “semina elekezi” kwa viongozi wote wakuu wa Serikali. Utaratibu huu unatokea mara kwa mara (periodically) pale hitaji la kuwaelekeza wanaohusika na utawala dhima na wajibu wao kitaifa.
Kasi yetu ya kuchimba dhahabu inatisha, idhibitiwe
Mikataba ya kuchimba dhahabu hapa nchini ilianza kusainiwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Mzee Benjamin William Mkapa.
Bunge linataka kumpoka Mungu madaraka
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa ya Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ya Februari 13, 2013 kuwa Bunge linakusudia kuzuia urushaji wa matangazo ya moja kwa moja (live) ya redio na televisheni kutoka bungeni. Dk. Kashilila amesema ni kosa pia kuwapiga picha wabunge wakiwa wamesinzia bungeni.
Silaa: Nawakilisha vijana CC
Msatahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, amesema anamshukuru Mungu, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), kwa kumchagua kwa kishindo kuingia katika Kamati Kuu (CC) ya chama hicho.