Latest Posts
Maswi: Gesi imeanza kuwatajirisha Mtwara
“Kazi ya kuunganisha na kusambaza mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam imefikia hatua ya kuridhisha. Kazi hiyo inafanywa na mashirika yenye uzoefu mkubwa kimataifa, ambayo ni Shirika la Teknolojia na Mendeleo ya Petroli la China (CPTDC), Kampuni ya Kutengeneza Mabomba ya China (CCP), Worley Parsons Limited na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Tayari mpaka sasa kilomita 142 kati ya 542 zimekamilika. Mradi huo unaotarajiwa kukamilika Desemba mwakani na utakuwa na mitambo ya kisasa.”
Yah: Mheshimiwa Kikwete: wananchi wanasema yatosha!
Salamu nyingi sana kama mchanga wa pwani zikufikie mahali popote ulipo, hofu na mashaka ni juu yako uliye mbali na upeo wa macho yangu, na baada ya salaam je hujambo.
Rais anasubiri nini kuifumua Wizara ya Elimu
kama tujuavyo imebaki miaka miwili Rais aliyepo madarakani Jakaya Mrisho Kikwete amalize muda wake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tayari tumemsikia Rais Kikwete akijivunia utendaji wake Amesema kwamba wale walioendelea kumsema vibaya kwamba chini ya uongozi wake Tanzania haikupata maendeleo wataoona aibu atakampomaliza muda wake. Atakuwa ameiacha Tanzania ikiwa na maendeleo yasiyo na kifani.
Mwarobaini hutibu mnyauko wa migomba
Mwarobaini ni mojawapo ya mimea maarufu yenye kinga dhidi ya wadudu waharibifu. Ndani yake kuna dawa inayoweza kutolewa kwa urahisi na kutayarishwa na kutumika kama dawa ya mimea ya kuulia wadudu.
Kinachonifanya nimpende Lowassa, hitimisho
Wakati naandaa makala niliyosema “Kinachonifanya nimpende Lowassa ni hiki” na kuichapisha katika gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita, hayakuwa mategemeo yangu kama makala hiyo ingeigusa jamii kwa kiasi nilichokishuhudia. Nimepigiwa simu nyingi mno, nimetumiwa ujumbe mfupi wa maandishi mwingi, na bado mpaka sasa naendelea kupokea simu na ujumbe!
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
Habari mpya
- Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 wakamatwa
- Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
- CBE na SWUFE ya China wasaini ushirkiano wa kitaaluma
- Trump, Netanyahu wakutana tena kumaliza vita ya Gaza
- Idadi ya waliofariki kwa maandamano Kenya yafikia 31
- Majaliwa aitaka TRA kuendelea kuongeza ufanisi ukusanyaji kodi
- NIT yaanza kutoa mafunzo ya urubani, yawataka vijana kuchangamkia fursa
- Sagini: Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wananchi kupatiwa kipaumbele
- Balozi Shaibu ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus
- Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya
- Rais Dkt. Samia akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo
- Rais Dkt. Samia akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
- Rais Dkt. Samia ateta na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Access Tanzania
- DIT Mwanza yaanzisha kozi mpya ya Teknolojia ya Uchakataji Ngozi
- Waziri Mkuu Majaliwa afungua kikao cha viongozi TRA