Latest Posts
Eneo la Shule ya Mwongozo Kinondoni kumegwa
Katika mambo mengi mazuri ambayo Serikali imeyafanya, hapana shaka ni kujenga uzio au kuta kuzunguka maeneo ya shule.
Kikwete: Kagame, Museveni, Kenyatta wamenishangaza
Asema wamevuja Mkataba, Itifaki ya Afrika Mashariki
Asisitiza Tanzania inaipenda Jumuiya, haitatoka kamwe
Aonya wasahau ardhi, ajira, kuharakisha shirikisho
Alhamishi wiki iliyopita, Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kueleza mambo manne ya msingi. Amezungumzia mchakato wa Katiba mpya, Operesheni Tokomeza, ushiriki wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na hatima ya Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kutokana na umuhimu wa hotuba hii, na historia inayoweza kuwa imewekwa na hotuba hii katika siku za usoni, Gazeti JAMHURI limeamua kuchapisha hotuba hii neno kwa neno kama sehemu ya kuweka kumbukumbu na kuwapa fursa Watanzania, ambao hawakupata nafasi ya kuisikiliza hotuba hii, kuisoma na wao pia kuhifadhi kumbukumbu. Endelea…
Tusisukumwe na hoja za kisiasa kujitoa EAC
Katika dunia yetu ya leo ya utandawazi, suala la nchi yoyote duniani kubaki kama kisiwa halipo kabisa. Maendeleo katika teknologia ya mawasiliano yameifanya dunia yetu igeuke kuwa kijiji kimoja.
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
- Sekta ya habari ni nyenzo muhimu katika kulinda na kudumisha amani kipindi cha uchaguzi – Dk Biteko
- Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 mbaroni
- Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
- CBE na SWUFE ya China wasaini ushirkiano wa kitaaluma
- Trump, Netanyahu wakutana tena kumaliza vita ya Gaza
Habari mpya
- Sekta ya habari ni nyenzo muhimu katika kulinda na kudumisha amani kipindi cha uchaguzi – Dk Biteko
- Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 mbaroni
- Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
- CBE na SWUFE ya China wasaini ushirkiano wa kitaaluma
- Trump, Netanyahu wakutana tena kumaliza vita ya Gaza
- Majaliwa aitaka TRA kuendelea kuongeza ufanisi ukusanyaji kodi
- NIT yaanza kutoa mafunzo ya urubani, yawataka vijana kuchangamkia fursa
- Sagini: Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wananchi kupatiwa kipaumbele
- Balozi Shaibu ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus
- Waziri Kombo ashiriki Kongamano la Diplomasia ya Afya
- Rais Dkt. Samia akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo
- Rais Dkt. Samia akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
- Rais Dkt. Samia ateta na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Access Tanzania
- DIT Mwanza yaanzisha kozi mpya ya Teknolojia ya Uchakataji Ngozi
- Waziri Mkuu Majaliwa afungua kikao cha viongozi TRA