JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mfanyabiashara aichezea mahakama

Mfanyabiashara Lodrick Uronu, ameingia katika mgogoro wa kisheria akituhumiwa kuvunja nyumba iliyopo katika kiwanja Na. 23 Mtaa wa Sokoni, Manispaa ya Moshi bila kuwa na amri halali ya korti. Nyumba hiyo mali ya marehemu Mwanaisha Suleiman na Zubeda Suleiman, ipo…

Nakubaliana na Marando, Tanzania ina bahati

Miaka mitatu iliyopita Mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando alitoa kauli ambayo si mimi tu, bali Watanzania wengi hatukumwelewa. Kauli yenyewe ilikuwa hivi: “Tanzania ni nchi yenye bahati. Ni nchi pekee duniani inayojiendesha bila Rais.” Wapo walioichukulia kama vijembe vya kisiasa,…

Miaka 4 ya JAMHURI, asanteni sana Watanzania

Desemba 6, 2015 Gazeti la JAMHURI lilitimiza miaka minne tangu lilipoanzishwa tarehe kama hiyo mwaka 2011. Wahenga walisema penye nia pana njia, na mgaa gaa na upwa hali wali mkavu! Kudumu kwenye soko lenye ushindani mkubwa wa vyombo vya habari…

Kikwete alitupuuza?

Tulikuwa na Rais ambaye hakuona mbali kuna wakati tuliambiwa kuwa tusiwazungumzie marais wastaafu hata kama hawakufanya vizuri wakati wa utawala wao. Tuwaache wapumzike. Kwa Tanzania si kweli kwamba kuna Rais mstaafu ambaye anapumzika baada ya kumaliza muda wake. Wote wanajihusisha…

Z’bar pagumu – Cheyo

Mwenyekiti wa Taifa wa UDP, John Cheyo maarufu kama ‘Bwana Mapesa’, amesema suala la mwafaka wa urais Zanzibar ni gumu na halihitaji kuamuliwa kirahisi rahisi bila kutafakari. Badala yake Cheyo amesema kuna haja kwa viongozi kukaa kwenye meza ya mazungumzo…

Dk. Magufuli apukutisha viza ‘Wizara ya Membe’

Mwezi mmoja tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, apige marufuku safari za nje ya nchi kwa viongozi nchini, maombi ya viza yamepungua kwa asilimia 90. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini ya kuwa Wizara ya Mambo…