Latest Posts
Migogoro ya ndoa 97,234 yatatuliwa, 15, 414 yapelekwa mahakamani
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum,Dkt Dorothy Gwajima amesema Wizara imetatua migogoro ya ndoa 97,234 hadi kufikia Aprili, 2025 kupitia Kitengo cha Ustawi wa Jamii katika ngazi ya Halmashauri hadi Taifa. Amesema kati…
Takukuru Mtwara yaokoa mil 79/- za AMCOS
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa chini (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikisha kuokoa zaidi ya Sh milioni 79 fedha za wakulima wa korosho kutoka vyama mbalimbali ya msingi mkoani humo kwa msimu wa mwaka 2024/2025. Akizungumza…
JKT yawaita wahitimu kidato cha sita kuhudhuria mafunzo ya JKT
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linawaita vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita kwa mwaka 2025 kutoka shule zote za Tanzania bara kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo Mei 27, 2025 …
TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA inasema mikoa ya Geita na Mara hali ya mawingu…
Kafulila : Serikali inapunguza mzigo wa kifedha na kukamilisha mradi kwa wakati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema Kupitia ( Public -Private Partnership ) PPP, Serikali inapunguza mzigo wa kifedha na kiutendaji huku…
Dk Biteko akutana na Mtendaji Mkuu Puma Duniani
📌Tanzania na PUMA kuimarisha ushirikiano 📌PUMA kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kampuni…