Latest Posts
Wachangia damu hatarini kususa
Wananchi wanaojitolea kuchangia damu kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, huenda wakakosa morali ya kuendelea kujitolea baada ya kubainika damu wanayochangia inamwagwa kwa kuharibika kutokana na ubovu wa mashine za kupimia sampo kabla…
Rubani wa Precision Air atuzwe (marudio)
Wiki iliyopita makala hii ilichapishwa. Hata hivyo, kimakosa kuna aya mbili zilikatika na kuifanya makala hii kupoteza maana ya kwa nini imeandikwa. Kutokana na wasomaji wengi kunipigia simu kuuliza ilihusu nini, naomba kuirudia makala hii. Pia naomba radhi kwa usumbufu…
Wamiliki vituo vya mafuta walia na TRA
Wakati Serikali ikiendelea na kazi ya kuvifunga vituo vya kuuza mafuta nchini, Chama cha Wamiliki wa Vituo vya Mafuta (TAPSOA) kimebainisha sababu za kutoanza kutumia mashine za kielektroniki za kutolea risiti kwenye pampu (Electrical Fiscal Petrol Printers-EFPPs). Katibu Mkuu wa…
Wasusia shughuli za kisiasa, kisa ukosefu huduma za jamii
Wananchi wa Kata ya Makata katika Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, wamesema hawatashiriki shughuli za kisiasa kwa madai ya kutelekezwa na wanasiasa na Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kutowapelekea huduma za kijamii kwa muda mrefu, JAMHURI limeambiwa. Wamesema mgomo huo…
Ndugu Rais na haya ndiyo maombi ya watu wako
Ndugu Rais kwa jitihada zako binafsi wengi wameona nidhamu katika kazi imeanza kurejea. Utendaji kazi kwa baadhi ya viongozi katika awamu iliyopita ulikuwa ni wa hovyo sana! Wananchi wanaona leo unatumbua hapa, kesho unapalilia pale na ukiona vipi, unasema liwalo…
Uchawi upo au haupo? Uchawi upo
Ndugu msomaji, sikulazimishi kuamini ninachokiamini mimi, ila ninakushawishi kukitafakari ninachokiandika. Mjadala huu ni maoni na mtazamo wangu siyo tamko la dini fulani na siy tamko la gazeti hili la JAMHURI. Ndugu msomaji, kumbuka kwamba hakuna mtu mjinga kuliko mwingine, na…