Latest Posts
Wasemavyo wananchi juu ya ombaomba ya Tanzania
Wiki iliyopita, kwenye safu hii, niliandika makala kuhusu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kupokea msaada dhalili wa ambulance moja kutoka kwa “Watu wa Marekani”.
Raha ya garimoshi la Mwakyembe
Kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi duniani, sekta ya usafiri wa reli ni muhimu katika kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
Wabunge wajitahidi kuwa makini bungeni
Juhudi za makusudi zinahitajika haraka kunusuru Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupoteza mvuto na heshima mbele ya jamii.
Nyerere: Utegemezi wa CCM
“Kipimo kingine cha CCM ni kwamba hatujaweza kujitegemea kwa fedha. CCM inapata ruzuku kubwa kutoka serikalini, na maana yake ni kwamba inachukua kodi za wananchi wote, wanachama na wasiokuwa wanachama.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akihutubia Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa, jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 1990.
Inawezekana kuzalisha fedha bila kutumia fedha (2)
Cha kufahamu ni kwamba, nguvu hizi hazitokei kwa bahati mbaya isipokuwa huamriwa na muhusika mwenyewe. Kadiri unavyouchukia umaskini ulionao unajenga nguvu ya kukutoa hapo. Kadiri unavyojenga hamasa ya kupata fedha ama mafanikio makubwa ndivyo nguvu ya kukufikisha huko inavyojengeka ndani yako. Ukijua unapoelekea ni rahisi kutafuta njia ya kukufikisha huko.
Mashabiki sasa wageukia Chalenji
Mashabiki wa soka sasa wamegeukia michuano ya Kombe la Chalenji, itakayoanza kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Namboole, Kampala nchini Uganda, Jumamosi wiki hii.