JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Akrama anavyoshutumiwa mechi ya Simba, Yanga

Jumatano iliyopita timu za Simba na Yanga zilishindwa kuoneshana ubabe, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kabla ya mchuano huo, Simba ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kushinda hasa kwa vile iliingia uwanjani ikiwa imeshinda michezo yote minne ya awali, huku Yanga ikiwa imeshinda miwili na kufungwa mbili pia.

Afadahi ya ‘ngangai’ kuliko ‘magwanda’ haya (2)

Lema akashinda. Lakini kutokana mwenendo wa kampeni ulivyokuwa, makada wa CCM ambao hawakuridhika, wakafungua kesi Mahakama Kuu na Lema akapigwa chini. Kama kawaida, wafuasi wa Chadema wakiwamo wana harakati na baadhi ya wasomi, wakamsuta Jaji aliyetoa hukumu hiyo kwa madai kuwa ilifanyika kisiasa.

Tunacheza Ziwa Nyasa linaondoka!

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mkutano wa SADC nchini Msumbiji, alimhakikishia Rais Joyce Banda wa Malawi kuwa kamwe Tanzania haitaingia vitani dhidi ya ndugu zao, Malawi.

Wanafunzi masikini wanyimwa mikopo

Wakati vyuo vya elimu ya juu vimeanza mapokezi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza wiki iliyopita, wanafunzi wengi hasa kutoka familia maskini bado wako nyumbani huku wakihofia kukosa masomo baada ya kukosa mikopo.

Tujihadhari unafiki usitunyime rais bora 2015

Uchaguzi Mkuu ujao hauko mbali kiasi cha kufanya Watanzania wachelewe kuanza maandalizi mapema. Ndiyo maana wengi hatushangai kuona na kusikia wanasiasa wanaojipanga sasa kwa ajili ya uchaguzi huo.

Utaifa hauna dini (2)

Licha ya kuwa na huo msimamo usiofungamana na dini yoyote, kati ya hizo mbili -uislamu wala ukristu- makundi yote mawili wakati ule waislamu wenye Koranic Schools ukanda wa mwambao hawakuzipokea shule hizi za Serikali.


Na wamisheni kwa wakati huo huo wakailaumu Serikali eti kwanini walianzisha shule hizi zenye mwegemeo wa kuwapendeza waislamu wale wa mwambao. Mawazo potofu kama haya yanaonekana katika maandishi mbalimbali ya wakati ule toka kila upande.