Latest Posts
Mwekezaji kiwanda cha sukari apigwa danadana
Ndoto ya Tanzania ya viwanda inaonekana kuanza kuyeyuka kutokana na mwekezaji kusota kwa miaka kumi akihangaika kupata vibali ili awekeze katika ujenzi wa kiwanda cha sukari, Bagamoyo, mkoani Pwani. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa kampuni ya EcoEnergy ni kutoka…
JWTZ yasema utekaji si kisasi
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema utekwaji madereva wa Kitanzania uliofanywa na kikundi cha waasi cha MaiMai nchini Congo hauna uhusiano wowote na uwepo wa askari wa jeshi hilo nchini humo. Akizungumza na JAMHURI, msemaji wa Jeshi…
Hivi tumerogwa na nani?
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazosifika kwa kuwa na umoja na amani, tofauti na nchi nyingi katika Bara la Afrika na dunia kwa ujumla. Nchi yetu imekuwa na amani kiasi cha Watanzania kuchoshwa na amani hii inayoliliwa na wenzetu hadi kuanza…
Wastaafu UDSM waendelea kusotea mafao
Wastaafu 638 wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 23 za mapunjo ya mafao yao kwa zaidi ya miaka 20 wamemwomba Rais John Pombe Magufuli kufuatilia madai hayo. Watumishi hao waliostaafishwa kazi mwaka…
Poleni Bukoba, tuchunge wapigaji!
Leo imepita karibu wiki moja tangu lilipotokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera, hasa Wilaya ya Bukoba. Tetemeko hili limeacha majonzi makubwa. Taarifa nilizosoma kwenye mtandao zinaonesha kuwa watu wapatao 17 wamepoteza maisha, zaidi ya 200 wamejeruhiwa na nyumba zaidi ya…
RATIBA YA SERIKALI KUHAMIA DODOMA
Mheshimiwa Spika, ili kufanikisha azma ya Serikali kuhamia Dodoma, tayari imeandaliwa ratiba itakayowezesha Serikali kuhamia Dodoma kwa awamu, kuanzia mwezi Septemba, 2016 hadi mwaka 2020, bila ya kuathiri bajeti yetu ya mwaka 2016/2017 kama ifuatavyo: Kwanza: Awamu ya Kwanza itakuwa…