Latest Posts
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 7
Uteuzi unanuka upendeleo serikalini Ukiukwaji taratibu na udhaifu katika usimamizi 80. Sheria na taratibu za utumishi zilizowekwa na Serikali kimsingi ni nzuri na endapo zinatekelezwa ipasavyo, utendaji wa Serikali utakuwa mzuri. Kinyume na matakwa ya sheria na taratibu hizo,…
Mtanzania awa bosi Afrika
Mchumi kutoka Tanzania, Dk. Frannie Leautier ameteuliwa kuwa Makamu wa Rais Mwandamizi katika kundi la Benki ya Mendeleo ya Afrika (AfDB). Benki hiyo ilimtangaza rasmi mwezi Mei, mwaka huu. Dk. Frannie alikuwa Mwenyekiti na mwanzilishi mwenza wa Mkopa Private Equity…
Rais Magufuli anamjenga Lissu
Wiki iliyopita vyombo vya habari vimetangaza habari nyingi za kukamatwa, kusafirishwa, kushikiliwa polisi, kufunguliwa kesi mahakamani, kesi kuendelea hadi saa 3:00 usiku na kisha Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kujidhamini. Binafsi sina nia ya kurejea matamshi ya Lissu,…
Bunge lafafanua tuhuma dhidi yake
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefafanua tuhuma dhidi yake zilizoibuliwa na Gazeti la JAMHURI hivi karibuni kuhusiana na ajira za upendeleo, matumizi mabaya ya ofisi, muundo mbovu, kuajiri watoto wa vigogo na nyingine. Mkurugenzi wa Ofisi ya Spika,…
Rais Magufuli turudi msitarini
Katika siku za karibuni kumekuwa na mtanziko mkubwa wa kisiasa nchini, huku Rais John Magufuli akizidi kusisitiza kwamba muda wa kufanya siasa umekwisha kilikochoko ni kusaidia wananchi kufikia maisha bora wanayostahili. Huku Rais Magufuli akisema hayo, chama kikuu cha upinzani…
Rais Magufuli usitumie nguvu kumkabili Lowassa
Rais John Pombe Magufuli alipohutubia mkutano wa hadhara alioufanya Manyoni, amenukuliwa akisema; “Hao wanaotaka kuandamana wataona. Nawaomba watangulie wao wawe mstari wa mbele, wasitangulize watoto wa maskini na wao kujificha hotelini mimi sijaribiwi.” Hii ni kauli ya hatari inayoashiria Amiri…