Latest Posts
Trump akalia kuti kavu Marekani
Wakati kampeni za kuwania kiti cha Urais ndani ya Taifa kubwa na tajiri la Marekani zikiendelea kupamba moto tayari mgombea asiyeishiwa vituko wa chama cha Republican Donald Trump amemtaja mshindani wake wa chama cha Democrat Hillary Clinton kuwa ‘shetani’. Akizungumza…
Wakala wamkaidi Prof. Muhongo
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency), umekumbwa na kashfa baada ya kutoichunguza kampuni ya msambazaji wa mafuta ya Sahara Energy Resources Limited ya Nigeria. Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa kulikuwa na maelekezo ya kuchunguza chanzo…
Ndugu Rais tusikilize uelewe wananchi wanataka nini
Ndugu Rais, tunaandika hapa kukusaidia wewe ili uwahudumie wananchi wako kwa namna ipasayo. Unaweza ukawa unafanya mambo mengi makubwa, lakini wananchi wakawa hawana furaha na wewe kwa sababu ya jambo moja tu au mawili unayowakera sana. Hivyo utakuwa umefanya vyema…
Profesa Mwamila ang’oka Chuo cha Mandela
Makamu Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Profesa Burton Mwamila, amejiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi, JAMHURI linaripoti. Kujizulu kwa Profesa Mwamila, kumekuja siku chache baada ya vyombo vya ukaguzi…
Mchungaji amweka kinyumba kijana
Kituo cha Polisi cha Wazo Tegeta jijini Dar es Salaam katika Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni kimeshutumiwa na wakazi wa eneo hilo kumlinda mhalifu anayedaiwa kumweka kinyumba mtoto wa kiume ambaye ni mwanafunzi (17). Kijana huyo (jina tunalo) anadaiwa kutekwa…
“TUEPUKE SUMU HIZI” (3)
“Mohamed Said, katika ukurasa wa 273 wa kitabu chake kuhusu Uislam anaandika kuwa Aprili, mwaka 1964, ujumbe mkubwa ukiongozwa na Sheikh Hassan Bin Amir, ukijumuisha akina Sheikh Said Omar Abdallah, Tewa Saidi Tewa, Katibu wa EAMWS – Abdul Aziz Khaki…