JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hatima ya taifa la wavivu, watunga sera mezani

Mwaka 1946  nilipangiwa na mkoloni kuwa Afisa Kata mashuhuri iliyojulikana kama Liwale, wakati huo ilikuwa na watu wapatao kama elfu mbili tu na kwa kweli walikuwa wengi kiasi cha kunifanya nigawe maeneo mengine yatawaliwe na vijana wenzangu niliowaamini.

Matajiri wahujumu kilimo nchini

Wakati Tanzania ikipambana kujiondoa katika adha ya njaa kwa kuboresha kilimo nchini kupitia mradi wa Kilimo Kwanza, wafanyabiashara wenye uchu wa utajiri wa haraka wanahujumu kilimo. Matajiri hawa wanapewa fedha za ruzuku kusambaza mbolea, lakini wanafanya kufuru. Kinachotokea, badala ya kuwapelekea wakulima mbolea, wanawapelekea mbolea iliyochanganywa saruji, chumvi na mchanga.

Fedha za rushwa Hanang’ zatisha

 

 

 

Vita ya kuwania nafasi ya NEC kupitia Wilaya ya Hanang’ Mkoa wa Manyara, imechukua sura mpya baada ya mmoja wa wagombea wanaoelezwa kuenguliwa kwenye Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Hanang’ kubuni mbinu mpya za kampeni.

 

Mzungu aiweka Serikali mfukoni

Raia anayesadikiwa wa Ubelgiji anayetafutwa na Serikali kwa ukwepaji kodi wa zaidi ya Sh bilioni 10, Marc Rene Roelandts, analindwa na baadhi ya watumishi na viongozi wa Serikali, JAMHURI imeelezwa. Kwa sasa mfanyabiashara huyo yuko mafichoni nje ya nchi kutokana na tuhuma zinazomkabili, lakini habari zinasema watumishi wake wawili wamekamatwa.

Wazungu wanavyoitafuna Tanzania

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele ametoa taarifa kwa umma kuhusu udanganyifu unaofanywa na kampuni ya uchimbaji ndhahabu ya Aureus Limited ambayo zamani ilikuwa ikijulikana kama Minextech. Ifuatayo ni taarifa hiyo neno kwa neno…

 

Utangulizi

Kampuni ya Aureus Limited (zamani ilikuwa ikiitwa Mineral Extraction Technologies Ltd (Minextech) ni kampuni inayojishughulisha na uchenjuaji wa marudio ya dhahabu ya wachimbaji wadogo (gold tailings) kwa kutumia teknolojia ya kemikali ya sayanaidi (vat leaching).

Kikwete polisi wanaanza kuyeyusha heshima uliyojijengea

Mwaka 2008 nilibahatika kuwa mmoja wa watu waliopata fursa ya kusafiri na Rais Jakaya Kikwete kwenda jijini Washington, Marekani. Safari hii ilikuwa ikihusiana na mambo mbalimbali lakini kubwa ni kushawishi Serikali ya Marekani kuridhia Mpango wa Millennia Challenge Cooperation (Account) – MCC.