JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TBS yadhibiti uharibifu injini za magari

Kuzinduliwa kwa mtambo mpya wa kupima mafuta kunaashiria kwisha kwa tatizo la muda mrefu la kuharibika kwa injini za magari yanayotumia mafuta ya petroli nchini. Mtambo huo wa kisasa uliozindulia wiki iliyopita na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda,  jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa mitambo inayopima mafuta ya magari iliyopo katika maabara ya kemia.

Amogolas afurahia maisha mapya

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hamis Kiyumbi ‘Amogolas’ ambaye kwa sasa ameachana na bendi yake ya zamani ya African Stars Twanga Pepeta, amesema anafurahia maisha ya kuanza kufanya muziki wa kujitegemea.

Mshiriki Big Brother akiri kubwia ‘unga’

Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika mashindano ya Big Brother Afrika mwaka huu, Huddah Monroe, amekanusha tuhuma dhidi yake kwamba ana Virusi vya Ukimwi kutokana na mwili wake kupungua kupita kiasi.

‘Unga’ unavyowatafuna wasanii wetu

Hali inaonesha kwamba wasanii wa Tanzania wamekuwa wadau wakubwa katika mzunguko wa biashara ya dawa za kulevya.

BARUA ZA WASOMAJi

Bukoba kulikoni?

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Meya, Balozi Kagasheki tuambieni kulikoni Bukoba? Tuambieni wakweli ni wapi kati ya madiwani waliofukuzwa, meya na madiwani waliobaki. Tuambieni tatizo ni nini hasa? Kimefichika nini hasa?

FASIHI FASAHA

Tusizikwe tungali hai – 2

Katika sehemu ya kwanza niligusia watangazaji wastaafu na chama chao VEMA, dira na malengo ya sera ya habari na utangazaji, na watangazaji wa ‘dot com’ na vyombo vya utangazaji. Dhana hizo tatu zimo katika mgongano wa mawazo kuhusu kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha Watanzania.