JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndege za ATCL zazidi kupasua anga ruti za Afrika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaM KAMPUNI ya Ndege ya (ATCL), imeendelea kutanua wigo wa safari zake na sasa iko katika mchakato wa kutafuta vibali vya kuanza safari za kutua mji wa Lagos Nigeria, Accra Ghana, Ivory Coast na…

Askofu Msaidizi Tabora awekwa Wakfu, Waziri Lukuvi amwakilisha Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu kwa Askofu…

Simba yashindwa kutwaa ubingwa

Mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla wameshuhudia timu Simba ikishindwa kutwaa ubingwa katika mchezo wa marudiano fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu hiyo na RS Berkane ya Morocco. Simba imelazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo…

Rais Samia anataka taifa lenye upendo na maendeleo

📌Dkt. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja 📌 Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana 📌 Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…

Katibu AMCOS Maswa afungwa jela miaka 20 kwa rushwa, uhujumu uchumi

Mei 20, 2025, Mahakama ya Wilaya Maswa imetoa hukumu kwa Bw. Masanja Andrew Mboje (36) ambaye ni Katibu wa AMCOS ya Gula, kifungo cha miaka 20 jela na kutakiwa kurejesha fedha kiasi cha sh 3,518,000 alizofanyia ubadhirifu. Katibu huyo alishtakiwa…

Soko la nyama Vingunguti kuzalisha ajira 232

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imesema Soko la Nyama Choma Vingunguti litatoa ajira 232, zikiwemo 15 za kudumu. Mkuu wa Masoko katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Alex Buberwa…