JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wawekezaji sekta ya madini wakaribishwa Mtwara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wawekezaji katika Sekta ya Madini wamekaribishwa kuwekezwa katika mkoa wa Mtwara kutokana na uwepo wa madini ya aina mbalimbali yakiwemo madini mkakati yanayotumika kwenye shughuli za viwanda. Hayo yamesemwa na Mhandisi wa Migodi Mwandamizi, Michael…

Waziri Mkuu anadi vivutio vya utalii, uwekezaji

▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025 ▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37 ▪️Asisitiza Tanzania ni mahali salama kwa uwekezaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan…

Kabila : Kongo inaendeshwa kidikteta

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amesema anapanga hivi karibuni kutembelea mji wa Goma uliodhibitiwa na waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wa M23. Kabila aliitaja serikali ya sasa ya Kongo kuwa ya kidikteta baada ya…

Mashambulizi ya Urusi yamesababisha vifo vya watu 12 Ukraine

MAAFISA wa Ukraine wamesema mashambulizi ya Urusi nchini humo yamesababisha vifo vya watu 12 huku jeshi la taifa hilo likitangaza kuyadungua makombora 45 na droni 266 katika mashambulizi hayo. Kituo cha huduma za dharura cha Ukraine kimeelezea mashambulizi hayo kuwa…

Rais Mwinyi awaahidi klabu ya Simba dola laki 1 za kimarekani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba kiasi cha Dola Laki Moja za Kimarekani endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Dkt. Mwinyi ametoa…

Mavunde : Masoko na vituo vya ununuzi wa madini vyaongezeka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Madini, Athony Mavunde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwaka 2019, Masoko na Vituo vya Ununuzi vimeongezeka kutoka 42 na 100 mwaka 2020/2021 hadi kufikia 43 na 109 mwaka…