Latest Posts
Nini ufanye ukihisi mwenza wako anataka kuuza nyumba, kiwanja?
Upo wakati katika ndoa ambako mmojawapo anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilhali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo, kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa, lakini ana…
Yah: Na mimi nataka ukuu wa wilaya siku moja?
NA BARUA YA S.L.P. Mzee Zuzu, C/O Duka la Kijiji Kipatimo, S.L.P. Private, Maneromango. Mtanzania Mwenzangu, Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http, Tanzania Yetu. Kuna tetesi kwamba ukuu wa wilaya unagawiwa kama njugu na wanaosema hivyo labda wana taarifa kamili juu…
Kiwanda cha Sukari chafutwa uwekezaji
Wimbi la uingizwaji wa sukari nchini kwa njia ya magendo limeleta athari kubwa kwa viwanda vya ndani na baadhi yao sasa vimeanza kupunguza wafanyakazi pamoja kufuta baadhi ya mipango yake ya uwekezaji ya muda mrefu.
Mwaka mwingine wa kumkumbuka Mwalimu Nyerere
Katika sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amenukuliwa akiwasihi wanachama wenzake kuhimiza kujitokeza mgombea atakayeiletea CCM ushindi kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Kuna ulimwengu mpya wa biashara
Hivi karibuni nilikutana na bwana mmoja mtaalamu wa masuala ya kompyuta, aliyenishawishi na kunishauri niwe na “application” kwenye “google play”. (Nimeshindwa kupata Kiswahili cha “Google Play” na “Application”). Kwa kifupi huu ni mfumo unaopatikana kwenye simu za “Smartphones, tablet na iPads”, ambao unakuwezesha kuwasiliana na kufanya biashara.
Ukraine yaivuruga Urusi
Vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea nchini Ukraine imeelezwa kutanuka na kusambaa nchini Urusi baada ya kiongozi wa upinzani, aliyepata kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Urusi, Boris Nemtsov, kupingwa risasi mwishoni mwa wiki.