JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

KAULI ZA WASOMAJI

Stendi ya Nyegezi ni jehanamu

Stendi ya mabasi ya Nyegezi, Mwanza ni mithili ya jehanamu, utapeli na usumbufu vimekithiri. Kwanini stendi za Tanzania zimeachwa kuwa vituo vya uhalifu wa kila aina, huku polisi wapo? Uchunguzi zaidi ufanyike kusaidia wananchi.

Rwambali F, Mwanza

TRA: ETR itaboresha biashara, mapato ya Serikali

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Awamu ya Pili ya utekelezaji wa Mfumo wa Mashine za Kielektroniki (ETR), kwa wafanyabiashara  zaidi ya 200,000 wenye mauzo ghafi ya Sh milioni 14 kwa mwaka.

Dk. Mwakyembe fahamu tumeshindwa reli, ndege makusudi

Wiki iliyopita Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe alisoma mipango lukuki katika bajeti ya Wizara ya Uchukuzi. Sitataja takwimu maana hizo kila awaye amezisikia. Sifurahi kutaja hata kiasi cha fedha zilizotengwa maana siku hizi namba zinatajwa bungeni, katika utekelezaji inakuwa sifuri.

Migogoro imeiua Simba msimu huu

Hatimaye Mashindano ya Ligi Kuu ya Vodaco Tanzania Bara yamemalizika huku Klabu ya Simba ikiambulia kushika nafasi ya tatu, huku mtani wao wa jadi, Yanga ikitwaa ubingwa wa ligi hiyo, ikifuatiwa Azam FC iliyoshika nafasi ya pili.

Wanawake ni injini ya ujasiriamali

  Wakati fulani nilikuwa nikisikiliza wimbo ulioimbwa na mwanamuziki nguli, Luck Dube, na ukatokea kunivutia sana kutokana na maudhui yake.   Ndani ya kibao hicho, Dube anaeleza namna wanawake wanavyopambana na maisha kupitia kujituma kuhakikisha familia zao zinastawi vizuri. Hata…

Mwalimu Nyerere na usawa katika jamii

 

Taifa letu kwa sasa linapita kwenye misukosuko ya udini, ukabila, ukanda na utegemezi. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hakusita kamwe kukemea kwa nguvu zote utengano huo, na kusisitiza nchi kujitegemea.