Latest Posts
Wananchi Lindi watakiwa kuchangamkia fursa za madini
· Waaswa kuacha uvivu · Mgodi wa Elianje, injini ya maendeleo Namungo Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Lindi WANANCHI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kuacha uvivu na badala yake wachangamkie fursa zilizopo kwenye sekta ya madini hususani katika mgodi wa kati…
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni za udereva
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la usalama barabani ambalo ni muhimu katika kuhakikisha raia wanakuwa salama dhidi ya ajali na…
Wizara ya Ardhi yaweka mkazo katika maboresho ya maeneo chakavu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viwanja 556,191 vimepimwa, mipaka ya vijiji 871 imehakikiwa, mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 846 imeandaliwa, na Hati za Hakimiliki za Kimila 318,868 zimesajiliwa katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya…
Prof Mkenda – magonjwa ya moyo kitapunguza utegemezi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali inakusudia kujizatiti kuongeza mitaala zaidi ya elimu ya afya ili kuzalisha wataalamu wa afya, lakini pia kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kimataifa katika kufanya tafiti na kutoa huduma za afya. Waziri wa Elimu,…
Wanajamii tujipange kuepusha migogoro – Dk Biteko
📌 Dkt. Biteko azindua kitabu cha miaka 35 ya TAWLA 📌 Rais Samia aipongeza TAWLA kushiriki kampeni za kisheria 📌 TAWLA yaipongeza Serikali miradi ya kimkakati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
JKCI, Burkina Faso zasaini makubaliano katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Burkina Faso wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika kutoa huduma bobezi ya matibabu ya magonjwa ya moyo. Hati hizo zimesainiwa jana jijini Dar es Salaam kati…