Latest Posts
ADF waandaliwa ‘kipigo cha mbwa mwizi’ kama cha M23
Ni wazi kuwa siku za kundi la waasi la Allied Democratic Forces (ADF) linaloshutumiwa kwa kuwaua wanajeshi 14 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), sasa zinahesabika. Kundi hilo lipo DRC na Uganda, na limekuwa likiendesha mauaji kwa…
Mohamed Sarah Mchezaji Bora wa Afrika Tuzo za BBC 2017
Mohamed Salah wa Misri amechaguliwa kuwa mshindi wa Tuzo ya BBC kwa Mwanakandanda Bora wa Afrika Mwaka 2017. Nyota huyu wa Liverpool alipata kura nyingi zaidi ya Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon, Naby Keïta wa Guinea, Sadio Mané wa Senegal na…
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 12, 2017
Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Disemba, 12, 2017 nimekuekea hapa.
Jiji La Dar Es Salaam La Pata Tuzo Ya Usafirishaji Abiria Kupitia Mabasi Ya Mwendo Kasi
JIJI la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji 10 duniani ambayo yamepata tuzo ya C40 Bloomberg Philantropies 2017 kupitia Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka. Katika tuzo hiyo mwaka huu imepokelewa na Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam…
Haya Hapa Magazeti ya Leo Disemba 11, 2017
Kam upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumatatu Disemba, 11, 2017 nimekuekea hapa.
Borussia Dortmund Yamtimua Peter Bosz na Kumchukua Peter Stöger
Borussia Dortmund leo tarehe 10 Novemba 2017, imetangaza kumfukuza kazi kocha wake,Peter Bosz na kumuajili Peter Stöger. Peter Bosz amepoteza michezo 12 tangu ajiunge na klabu hiyo na kitu pekee cha kushangaza ni kwamba Dortmund wamemuajili kocha ambaye ametimuliwa na…





