Latest Posts
Yah: Litakuwa Taifa la watoto, wazee
Nianze kwa kuwapongeza kutimiza miaka makumi kadhaa ya Muungano, yaani Muungano ambao leo mnadai kuwa una kero ambazo sisi wakati tukiungana tuliona siyo kero za Muungano bali ni chachu za Muungano, na ndizo zinazofanya utamu wa Muungano kuwapo. Sina hakika,…
Kipande abanwa Bandari
Nyalandu aweweseka siri kuvuja
*Aanza kuwasaka wabaya wake, awatisha Aprili 22, mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na baadhi ya watendaji waandamizi wa Wizara hiyo mjini Dodoma, alitoa vitisho akiahidi kuwashughulikia wote aliodai kuwa wanavujisha siri za ofisi kwa watu…
Kipande abanwa Bandari
Yah: Tusichezee lugha yetu, wengine wanajuta
Wakati tunatawaliwa, wakoloni wote kwa awamu zao yaani Wajerumani, Waingereza na hata Wareno na Waarabu, wakati wakipita kwa biashara zao sisi Wazaramo na Wandengereko tulikuwa tunawasiliana kwa shida sana. Kuna wakati tulikuwa tunatumia lugha ya alama kuwasiliana. Baada ya kuanza…
Fedha zako ni kipimo cha imani yako
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wetu. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mchakato wa Katiba mpya, lakini ninasikitishwa na namna mwenendo wa Bunge hilo ulivyo.
Wiki iliyopita tumeshuhudia mgogoro wa kimakundi uliosababisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia vikao vya Bunge Maalum la Katiba.
Binafsi ninaamini kuwa pande zote zitakaa chini na kufikia mwafaka ili Taifa letu lipate Katiba mpya.
Sasa tuendelee na uchambuzi wa leo unaohusu uhusiano wa imani zetu na umilikaji fedha.
- Pigeni kura Oktoba 29, mtudai maendeleo – Dk Biteko
- Hatumchagui Dk Samia kumpa zawadi, anaweza kazi yake – Wasira
- CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalishwa zaidi ya ajira 500
- Taasisi za Umma zapitisha maazimio tisa ya kuimarisha ufanisi
- RC Ruvuma akabidhi magari 24 kwa Jeshi la Polisi
Habari mpya
- Pigeni kura Oktoba 29, mtudai maendeleo – Dk Biteko
- Hatumchagui Dk Samia kumpa zawadi, anaweza kazi yake – Wasira
- CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalishwa zaidi ya ajira 500
- Taasisi za Umma zapitisha maazimio tisa ya kuimarisha ufanisi
- RC Ruvuma akabidhi magari 24 kwa Jeshi la Polisi
- Ridhiwani aahidi upatikanaji maji kwa asilimia 100, kaya 300,000 kufikiwa
- Mgombea urais CUF, Gombo aahidi wazee miaka 60 akiingia madarakani watalipwa posho kila mwezi
- Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela
- Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City
- Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita
- Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 16 – 22, 2025
- Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi
- Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
- WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
Copyright 2024