JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wafanyabiashara dawa za kulevya watajwa

Watanzania 235 wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nje ya nchi, wamekamatwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi mwaka 2012.

Watalii waiingizia Tanzania yavuna 614.4 bil/-

Serikali imeingiza kipato cha Sh bilioni 114.4 kutoka kwa watalii 6,730,178 waliozuru nchini wakitokea mataifa mbalimbali, katika misimu ya 2001/2002 na 2011/2012.

China: Mkombozi pekee uchumi wa Afrika

Historia inazungumza mambo mazuri juu ya Afrika. Inaitaja Afrika kama chimbuko la maendeleo. Binadamu wa kwanza duniani anatajwa kuishi Afrika. Olduvai Gorge iliyopo Arusha nchini Tanzania, inatajwa kama eneo alikoishi binadamu wa kale zaidi ya miaka milioni mbili iliyopita.

NHC: Hatuhusiki ujenzi ghorofa lililoanguka

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limejitokeza na kukana kuhusika na ujenzi wa jengo la ghorofa 16 katika Mtaa wa Indira Gandhi, jijini Dar es Salaam, ambalo lilianguka wiki iliyopita.

Mifugo yaharibu Pori la Akiba Maswa

*Wanasiasa, wafanyabiashara washushiwa lawama

Maelfu ya ng’ombe na mifugo mingine imeingizwa ndani ya Pori la Akiba la Maswa.

Inakadiriwa kuwa asilimia 30 hadi 40 ya pori hilo imemezwa na mifugo hiyo. Wingi wake umesababisha wanyamapori wengi wakimbie.

Ridhiwani Kikwete aanika utajiri wake

*Aeleza adha za kuwa mtoto wa Rais, ataja fedha alizonazo benki

*Azungumzia urais 2015, uhusiano wake na Membe, Lowassa

*Achambua mgogoro wake na Hussein Bashe, Dk. Wilbrod Slaa

Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete, amefanya mahojiano maalum na Gazeti la JAMHURI nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam, Machi 30, mwaka huu, na kuzungumzia masuala mbalimbali yanayomhusu yeye binafsi na mengine yanayolihusu Taifa.