Latest Posts
FASIHI FASAHA
Ulimi mzuri mali, mbaya hatari
Sitafuti mashahidi wa haya nitakayosema, kwani kauli nitakayotoa ni yumkini na yanayotokea hapa Tanzania – ya watu kusema na kutenda mambo bila hadhari.
FIKRA YA HEKIMA
Serikali itangaze elimu ya msingi haitolewi bure tena
Elimu ya msingi hapa Tanzania imeendelea kuwagharimu wazazi na walezi fedha nyingi, licha ya Serikali kutangaza kuwa inatolewa bure (bila malipo yoyote).
Siasa inavuruga masuala ya Taifa
Tunapozungumzia siasa hatuwezi kudai kwa haki kwamba siasa ni kitu kibaya. Ungeweza kusema kwamba siasa ni maneno mazuri yanayomtoa nyoka pangoni. Kwa kifupi siasa inasaidia kutatua matatizo.
Benki ya NMB yaanzisha mikopo ya bajaj
Benki ya NMB imeanza kutoa mikopo ya pikipiki zinazotumia magurudumu matatu (bajaj) kwa wajasiriamali nchini.
Tuache kufyatua maneno – 2
Katika Kamusi hiyo, neno, ‘ari’ linaainishwa kuwa ni “hamu ya kutaka kukamilisha jambo na kutokubali kushindwa; ghaidhi, hima, nia, kusudio’. Hii ina maana kwamba matumizi ya neno ‘changamoto’ yameachanishwa na ufafanuzi wa Kiswahili.
Jukwaa la Wakristo limenishangaza
Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) linalojumuisha Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Jumuiya ya Makanisa ya Kipentekosti Tanzania (PCT) na Kanisa la Waadventisti Wasabato (SDA), limenishangaza. Limenishangaza kwa lililolitoa hivi, kufuatia mkutano wake wa dharura uliofanyika Kurasini, Dar es Salaam, Machi 8 mwaka huu, ukiwahusisha maaskofu 117 wa makanisa mbalimbali nchini.