JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yanadi fursa za uwekezaji mnyororo madini muhimu London

Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Madini barani Afrika, kwa kuelezea mikakati madhubuti ya kuendeleza madini muhimu na mkakati yanayopatikana nchini. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo amesema hayo…

Jitihada za utunzaji wa mazingira Tanzania, Norway zawekwa bayana

Na Jovina Massano TANZANIA na Norway yabainisha mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na namna bora ya uhifadhi wa mazingira ikiwa ni pamoja na kukabiliana na janga la taka za plastiki. Mikakati hiyo imejadiliwa jijini Oslona Waziri wa…

Wadau wapitia mkakati wa taifa wa kupunguza uzalishaji wa gesijoto

Na Mwandishi Wetu WADAU wametakiwa kuiunga mkono Serikali katika kuhakikisha agenda ya mabadiliko ya tabianchi na hifadhi ya mazingira inakuwa sehemu ya vipaumbele katika kutekeleza majukumu ya kila siku. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Dkt. Paul Deogratius…

Rais Namibia atembelea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. NetumboNandi-Ndaitwah alipowasili chuoni hapo leo asubuhi ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kiserikali ya siku mbili nchini. Rais…

Serikali yajikita kuboresha kilimo kupitia BBT na Bajeti ya Trilioni 1.24/-

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imewasilisha mpango wake wa makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ukilenga kuimarisha ajira staha kwa vijana na wanawake kupitia Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT)…

Kenya yajifunza uchimbaji na biashara ya makaa ya mawe Tanzania

📍 Dodoma Tanzania imeendelea kuwa kinara katika usimamizi na uendelezaji wa Sekta ya Madini katika eneo la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, hali iliyoivutia nchi jirani ya Kenya kuja kujifunza mbinu bora za uchimbaji wa makaa ya mawe. Ujumbe…