Latest Posts
Netanyahu kukutana na Trump huku ukosoaji ukimuelemea
Rais wa U.S Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza anapokutana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku Israel ikizidi kuishambulia Gaza City. Tawi hilo la kijeshi la Hamas kupitia Brigedi zake za Al-Qassam…
CCM imetuheshimisha wanawake, UWT tunatafuta kura za kishindo za Dk Samia – Chatanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WENYEVITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amesema UWT inashukuru sana maamuzi yaliyofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya…
Dk Biteko awapa heko wachimbaji wa madini
Mchango wa wachimbaji wadogo wa madini waongezeka kutoka 20% mwaka 2020 hadi 40% mwaka 2024 Teknolojia za kisasa za uchenjuaji madini zatajwa kuwa na tija kuliko matumizi ya zebaki Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya maendeleo ya sekta…
Samia kujenga uwanja wa michezo Msoga
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema atajenga uwanja wa kisasa wa michezo katika eneo la Msoga wilayani Chalinze mkoani Pwani kama atashinda uchaguzi mkuu. Rais Samia ametoa kauli hiyo, leo Septemba 28, 2025 aliposimama kuzungumza…
Jitokezeni kwa wingi siku ya kupiga kura-Samia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Pwani Mgombea urais wa ChamaCha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga Oktoba 29, mwaka huu kwa sababu kuna usalama upo wa wa kutosha. Amesema kutokana na mahudhurio mazuri ya…
Norway yaipongeza WorldVeg kwa utafiti, uhifadhi wa mbegu za asili Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Serikali ya Norway imeipongeza Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga – World Vegetable Centre (WorldVeg), Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, iliyopo Tengeru, mkoani Arusha kwa kazi kubwa ya utafiti…





