JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ugonjwa unaomkabili Biden waibua maswali

Tangazo la Joe Biden kwamba amepatikana na saratani ya tezi dume limefufua maswali kuhusu masuala ya kiafya ambayo rais huyo wa zamani wa Marekani alikuwa akikabiliana nayo alipokuwa katika Ikulu ya White House. Katika taarifa ya Jumapili, ofisi ya Biden…

CBE kuanzisha Shahada ya Uhandisi wa Viwandani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kujenga maabara za kisasa zitakazoidhinishwa na mashirika ya kimataifa ya viwango ambazo zitakuwa kitovu cha mafunzo, utafiti, na ushauri wa vipimo katika Afrika Mashariki na Kati….

Zelensky aishutumu Urusi kwa kutaka kuendeleza vita vyake

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameishutumu Urusi kwa kutoshiriki kwa dhati kwenye mazungumzo ya amani na kwa kutaka kuendeleza uvamizi wake wa miaka mitatu, licha ya msukumo wa Marekani wa kusitisha mapigano. Matamshi haya ameyatoa siku moja baada ya Rais…

Tanzania, Namibia zakubaliana kukuza ushirikiano kiuchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuongeza juhudi za kukuza ushirikiano wa kiuchumi kwa kutafuta njia madhubuti za kukuza biashara baina yao, ikiwa ni pamoja na kuwezesha uwepo wa…

Rais wa Jamhuribya Namibia akisalimiana na viongozi mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Mhe. Mama Gertrude…