Latest Posts
‘Mahekalu’ Masaki, Oysterbay kuvunjwa
Serikali imeamua kufuatilia kwa kina wakazi wa Dar es Salaam wanaomiliki viwanja ambavyo kwenye ramani za mipango miji vinaoneshwa kuwa ni maeneo ya wazi. Maeneo ambayo Serikali inayamulika ni yale yenye hadhi, umaarufu na thamani kubwa yaliyopo Oysterbay, Masaki, Mikocheni,…
Mkuu wa Mkoa K’njaro atangaza operesheshi sita
Mkuu wa Mkoa (RC) wa Kilimanjaro, Amos Makalla, ametangaza operesheni sita kabambe zikilenga kukomesha uhalifu, kuhimiza uwajibikaji, kulinda afya za wananchi na kutunza mazingira. RC Makalla alitangaza operesheni hizo kwenye kikao cha kazi kilichowahusisha wakuu wa wilaya zote za Mkoa…
Mbarali ‘wafunikwa’ tena fidia ya makazi
Wananchi 3,113 wa Mbarali mkoani Mbeya, waliohamishwa katika vijiji vyao kupisha upanuzi wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na kupunjwa fidia za maeneo yao, wamesema Serikali imeendelea kuwahadaa kuhusu madai yao. Mwishoni mwa mwaka jana, Gazeti la JAMHURI liliripoti mgogoro…
Wabunge Tarime wajipanga
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mara, Agnes Marwa (CCM), ametangaza kuwapeleka bungeni Dodoma, madiwani wa Halmashauri ya Tarime Mjini katika ziara ya mafunzo. Hatua hiyo imekuja baada ya Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche, kutangaza hivi karibuni kuwapeleka…
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yametangazwa siku nyingi kidogo na watu wengi wamejitahidi kuyachambua. Kwa kuwa na mimi ni mdau wa elimu nachukua nafasi hii kuyachambua. Kuna mambo makubwa yaliyojitokeza katika matokeo ya mtihani huo. Kwanza, kuendelea kufanya vibaya…
Haya ya CCM ni aibu
Kila mara Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetamba kwamba ndicho baba wa mageuzi nchini Tanzania. Kinasema kuwa mwaka 1992, licha ya asilimia 80 ya Watanzania kutaka Taifa letu liendelee kuwa na mfumo wa chama kimoja cha siasa, ndicho kilichopindua maoni hayo…