JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Madaraka Nyerere azungumza

Madaraka Nyerere ni mmoja kati ya watoto wanane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tangu kifo cha Mwalimu, amekuwa akiishi Butiama akiwa Mratibu wa asasi ya kijamii ya Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE) inayotangaza Butiama kama kivutio cha kihistoria na kiutamaduni kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania .

Jana, tarehe 14 Oktoba 2013, tumetimiza miaka 14 tangu kufariki Mwalimu Julius Nyerere, kiongozi wa kwanza wa Tanganyika huru, naย baadaye Tanzania.

Je, wote tuwe wajasiriamali?

Kwenye anga za uchumi na biashara kumekuwa na changamoto inayojirudia kutoka kwa baadhi ya wasomaji kuhusu dhana ya ujasiriamali.

Licha ya wasomaji kuzikubali makala hizi lakini wamekuwa na walakini ikiwa inawezekana Watanzania wote tukawa wajasiriamali.ย  Hata mimi ninafahamu kuwa si watu wote wana โ€˜karamaโ€™ za kuwa wajasiriamali wa kibiashara.

Nukuu mbalimbali za Nyerere

Nyerere: Wazee wa Dar waliniamini wakaniombea dua

“Mimi nimeanza siasa na wazee wa Dar es Salaam; na wazee wa Tanzania. Nimeanza nao mapema sana; mapema kweli. Nilirudi kutoka masomoni, Uingereza Oktoba 1952 โ€“ miaka 33 nyuma. Wakati huo nikiwa kijana mdogo wa miaka thelathini na kidogo hivi.

Mwalimu asienziwe kwa porojo

Miaka 14 imeshatimia tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipofariki dunia katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas jijini London, Uingereza, Oktoba 14, 1999.

Pinda: Mwanasheria anayepinda sheria

Kuna mambo mengine mtu unaweza kupata sifa hata kama huna ujuzi nayo. Wakati wa mvutano wa Chama cha Wamiliki wa Malori na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, nilisema Waziri huyo hatafika mbali kwa uamuzi wake wa kusimamia sheria.

Watanzania tuzienzi kauli hizi za Nyerere

Miaka 14 imepita tangu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia. Ameiacha dunia ikiwa katika mapambano, misuguano na vita kali ya maneno na silaha kati ya wanyonge na wenye nguvu kuhusu uonevu, dhuluma, haki na ukweli.