Latest Posts
Wabunge, Nishati acheni mivutano
Ijumaa wiki hii Wizara ya Nishati na Madini inatarajiwa kuwasilisha bajeti yake bungeni. Kama ilivyo kawaida tayari harakati zimeanza. Wabunge wanapigana vikumbo, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco William Mhando amesimamishwa kazi na Wizara ya Nishati na Madini inapambana na upatikanaji wa umeme.
Ewura yaokoa bilioni 170/-
*Ni baada ya kudhibiti uchakachuaji kwa kuweka vinasaba
*Wabunge waliotemeshwa ulaji wanaanza harakati ivunjwe
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeliwezesha taifa kuokoa zaidi ya Sh bilioni 170 kwa mwaka, lakini hatua hiyo imewakera baadhi ya wabunge waliokuwa wakichakachua na sasa wanafanya mbinu ivunjwe.
Uzalendo: Mtihani wa kuwa raia
Huwa kila jamii yenye kujiheshimu hujiwekea vigezo vya watu wanaotakiwa kuwa ndani yake. Mataifa nayo – kwa kuwa yana mipaka yake yana watu ambao ruksa kuwa ndani – na wengine wote haruhusiwa kuingia, kukaa kwa muda mfupi au mrefu hadi kwa ruhusa maalumu (viza).
JKT ya wiki 3 kwa wabunge ni utani
Machi 17 mwakani imepangwa kuwa tarehe ya kurejesha upya mafunzo ya kijeshi katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kwa mujibu wa sheria ambayo Serikali iliyafuta mwaka 1992.
Hotuba ya Upinzani iliyozuiwa bungeni hii hapa
Wiki iliyopita Serikali iliibua hoja na kufanikiwa kuzuia baadhi ya maneno yaliyokuwamo kwenye hotuba ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzanji Bungeni wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Vincent Nyerere, yasisomwe. JAMHURI inakuletea hicho kilichozuiwa kusomwa.
Kilichonisikitisha ajali ya meli Zanzibar
Wiki iliyopita kwa mara nyingine taifa letu limeshuhudia majonzi ya aina yake baada ya Watanzania wengine wapatao 150 kupoteza maisha baada ya meli waliyokuwa wakisafiria kuzama.