Latest Posts
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Tuwe makini kulinda ardhi yetu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, jana aliwasilisha bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo ya mwaka 2012/2013.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
- Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama
- Wazazi acheni kuwaita watoto majina mabaya
- WorldVeg kuimarisha utafiti na mafunzo ya mbegu bora kwa kilimo endelevu kusini mwa Afrika
- Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
- ZEC : Kura ya mapema ipo kama kawaida
Habari mpya
- Dk Biteko azindua mpango wa utekelezaji ajenda ya wanawake amani na usalama
- Wazazi acheni kuwaita watoto majina mabaya
- WorldVeg kuimarisha utafiti na mafunzo ya mbegu bora kwa kilimo endelevu kusini mwa Afrika
- Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
- ZEC : Kura ya mapema ipo kama kawaida
- Kanisa la miaka 113 kuhamishwa hadi katikati ya jiji la Uswidi
- Mkutano wa amani kati ya Putin na Zelenskyy wanukia
- Soma Gazeti la Jamhuri Agosti 19 -25, 2025
- Prof. Kabudi : Uandishi wa habari ni taaluma anayefanyakazi hii lazima awe na vigezo
- Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuboresha sheria kuelekea utekelezaji wa dira 2050
- Dk Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi
- Waziri Mwita awataka wananchi kuunga mkono miradi ya Serikali
- Fanyeni kampeni za kistarabu kunadi sera epukeni matusi
- Waziri Mkuu akisafiri kwa Treni ya umeme
- CCM yatoa ratiba ya vikao vyake vya kitaifa
Copyright 2024