Latest Posts
Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11
Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Habari mpya
- Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
- ZEC : Kura ya mapema ipo kama kawaida
- Kanisa la miaka 113 kuhamishwa hadi katikati ya jiji la Uswidi
- Mkutano wa amani kati ya Putin na Zelenskyy wanukia
- Soma Gazeti la Jamhuri Agosti 19 -25, 2025
- Prof. Kabudi : Uandishi wa habari ni taaluma anayefanyakazi hii lazima awe na vigezo
- Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuboresha sheria kuelekea utekelezaji wa dira 2050
- Dk Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi
- Waziri Mwita awataka wananchi kuunga mkono miradi ya Serikali
- Fanyeni kampeni za kistarabu kunadi sera epukeni matusi
- Waziri Mkuu akisafiri kwa Treni ya umeme
- CCM yatoa ratiba ya vikao vyake vya kitaifa
- Umoja na mshikamano vyatawala hotuba za viongozi mkutano wa SADC
- Kikwete: Serikali kusaini muongozo wa kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi
- Polisi Pwani yakamata watu 10, watatu wanawake kwa tuhuma za kupanga uhalifu