Latest Posts
Tiketi milioni moja zauzwa Kombe la Dunia
Shirikisho la Soka duninai (FIFA) limethibitisha kuwa zaidi ya tiketi milioni moja za Kombe la Dunia zimeombwa na mashabiki kupitia mtandao wake katika kipindi cha saa saba pekee tangu zianze kuuzwa.
Chelsea yaipokonya tonge mdomoni Spurs
Hatimaye Klabu ya Soka ya Chelsea ya Uingereza imekubali kulipa kiasi cha pauni millioni 30 sawa na bilioni 75 za kitanzania, kumsajiliwa kiungo mchezaji Willian Borges da Silva, kutoka klabu ya Urussi Anzhi Makhachkala.
TBS yadhibiti uharibifu injini za magari
Kuzinduliwa kwa mtambo mpya wa kupima mafuta kunaashiria kwisha kwa tatizo la muda mrefu la kuharibika kwa injini za magari yanayotumia mafuta ya petroli nchini. Mtambo huo wa kisasa uliozindulia wiki iliyopita na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda, jijini Dar es Salaam, ni miongoni mwa mitambo inayopima mafuta ya magari iliyopo katika maabara ya kemia.
Amogolas afurahia maisha mapya
Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hamis Kiyumbi ‘Amogolas’ ambaye kwa sasa ameachana na bendi yake ya zamani ya African Stars Twanga Pepeta, amesema anafurahia maisha ya kuanza kufanya muziki wa kujitegemea.
Mshiriki Big Brother akiri kubwia ‘unga’
Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika mashindano ya Big Brother Afrika mwaka huu, Huddah Monroe, amekanusha tuhuma dhidi yake kwamba ana Virusi vya Ukimwi kutokana na mwili wake kupungua kupita kiasi.
‘Unga’ unavyowatafuna wasanii wetu
Hali inaonesha kwamba wasanii wa Tanzania wamekuwa wadau wakubwa katika mzunguko wa biashara ya dawa za kulevya.