Latest Posts
Lembeli: Mbunge mahiri au muuza nchi?
Vyombo kadhaa vya habari vimeandika taarifa za Mjumbe wa Bodi ya African Parks Network (APN), James Lembeli, kuwashitaki wanahabari na wahariri wa vyombo kadhaa vya habari.
Kwenye orodha hiyo, jina la Manyerere Jackton limo. Pamoja nami, kuna makomredi wengine walioamua kwa haki kabisa kusimama kidete kulinda rasilimali za nchi yetu. Wito wangu kwa wote — tusikate tamaa.
Hadi naandika makala haya, sijapokea barua yoyote kutoka, ama kwa Lembeli au katika Mahakama ikinieleza bayana suala hilo. Kwa sababu hiyo, bado taarifa hizi nazichukulia kama taarifa nyingine zisizo rasmi, ingawa lisemwalo lipo, na kama halipo, laja.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Pluijm uzingatiwe
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, Hans Van Der Pluijm, ametema nasaha nzito kwa timu hiyo, ambazo zinastahili kuzingatiwa pia na klabu nyingine za soka hapa Tanzania. Akizungumza katika hafla ya kumuaga…
- Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu ziara za kikazi alizofanya Rais Dkt. Samia
- Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
- Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
- Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
- IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
Habari mpya
- Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu ziara za kikazi alizofanya Rais Dkt. Samia
- Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
- Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
- Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
- IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
- Naibu Waziri aipongeza CBE kwa machapisho 148 ya kitaaluma
- Waziri Mkuu akagua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta
- Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars
- Daraja la mto Pangani ni kichocheo cha uchumi – Dk Mwigulu
- Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi daraja la Pangani
- JAB yajipanga kuendelea kutoa mafunzo kwa waandishi, wamiliki wa vyombo vya habari
- Waziri Mkuu Dk Mwigulu atembelea ofisi za CCM Tanga
- Simanjiro yapitisha bilioni 45/- mpango wa bajeti 2026/2027
- RITA yatoa mafunzo ya usimamizi wa mirathi, utatuzi wa migogoro kwa viongozi, wazee wa kimila
- TRC yaokoa bilioni 12.9 kila mwaka, Bunge lapongeza